Je mlikuwa mnayajua haya…?

Je mlikuwa mnayajua haya…?

No.1 ni kwel kbs ndo mana scenario za wanaume kudate beki3 na sura zao chunguu haziishi
 
Umuulize nani yani wewe bila kutamka jinalangu koo lako lakuwasha, basi kwa taarifa yako hakuna wanawake ambao ni vicheche , nyie madume nido vicheche wamendea wake za watu hasa wewe unayependa kunitaja na jana nilikuona kwenye PUB yako unabugia utafikiri humuoni Mungu anakuita uokoke achana na pombe
 
Kaka mkubwa umeongea vizuri kabisa na yote hutokea katika maisha yetu...
Lakini yote hayo ni "Rule of Nature", ni ngumu kuweza kuyabadili...
Ndio maana wanawake wanaendelea kutendwa and there is nothing they can do about it...
Muhimu ni sisi wanaume kuwa wakweli kwa wale tulionao ..
 
Huyo co mwanamume wa
ukweli mwanamume wa kweli habugii mipombe ovyo ovyo mwanamume wa kweli ana2lia na mke au mpenz wake 1 hatapitapi ovyo ovyo ka huyo huyo n wakiume sio mwanamume
 
uzoefu sina sana ila ulichokisema kina ukweli kwa asilimia kubwa sana........nampenda mpenzi wangu jinsi alivyo na wala siyo kwa viraka viraka......
 
Umuulize nani yani wewe bila kutamka jinalangu koo lako lakuwasha, basi kwa taarifa yako hakuna wanawake ambao ni vicheche , nyie madume nido vicheche wamendea wake za watu hasa wewe unayependa kunitaja na jana nilikuona kwenye PUB yako unabugia utafikiri humuoni Mungu anakuita uokoke achana na pombe
Halafu we binti weweeee

Mambo ya kunichunguza ukome kabisa, utakuja kupofuka macho kwa kuchungulia watu wazima wakiwa faragha....LOL
 
Huyo co mwanamume wa
ukweli mwanamume wa kweli habugii mipombe ovyo ovyo mwanamume wa kweli ana2lia na mke au mpenz wake 1 hatapitapi ovyo ovyo ka huyo huyo n wakiume sio mwanamume
Duh, ndio umekuja na ID nyingine!
 
Kaka umenena ukweli nakumbuka Mwaka fulani nikiwa mkoa, kuna mtu mzito fulani aliletwa kuwa meneja wa Posta mkoani kwetu, basi alipangishiwa nyuma mtaani kwetu, watoto wake walikuwa geti kali balaa na walikuwa wana nyodo za kufa mtu kwasababu tu ya maisha waliyokuwa wakiishi hasa ukichukulia hata shule walikuwa wakisoma za boarding hivyo mtaani walikuwa wanaoneka kwa nadra sana wakati wa likizo, japo kuwa walikuwa hawana mvuto wowote ukilinganisha na mademu wa mtaani watu tulikuwa tunakomaa sana kuwatongoza tukutanapo nao sehemu, si kwamba tulikuwa tunawahitaji sana kimapenzi bali tulikuwa tunafanya hivyo ili ukifanikiwa usifiwe kwamba wewe ni kidume umefanikiwa kumpata mtoto wa geti kali
 
My self nisipokupenda I can't make love with u na kama ikitokea nitakuwa gogo nasubiri umalize nisepe

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
1-Kwa kawaida mwanaume huweza kufurahia tendo la ndoa bila hata kumpenda mwanamke, lakini kwa mwanamke, hiyo ni tofauti, kwani hawezi kufurahia tendo la ndoa kama hajampenda mwanaume. Kwa mwanaume tendo la ndoa halihusiani kabisa na kupenda.
Katika kipengele hicho hapo ndipo nawaona wanaume kama wadudu, maana anaweza akamsifia mwanamke kiasi ambacho yule mwanamke akadhani kapendwa kumbe mtu anataka free game tu, sasa najiuliza kuwa ni kwa nn husemi kuwa nahitaji free game,au One night stand na wewe halafu kwisha kuliko kumdanganya mwenzio anabaki na matumaini kumbe wewe unae aliyerohoni kwako.
Pia ni kweli mwanamke hawezi kufurahia tendo la ndoa bila kumpenda mwanaume, lakini mwanaume hata kama mmegombana yeye anaona lile tendo ndilo suluhisho la ugomvi wenu ndani ya nyumba, na ukimwambia huwezi kushiriki hilo tendo kwa sababu una hasira yeye anadai ugomvi ni kati yako na yeye, lakini Adam na Hawa hawana ugomvi, wao wanatakiwa wasalimiane kama kawa. Hapo ndipo nashindwa kushangaa kuwa wao wanawezaje kushiriki tendo ihali wanahasira.
 
duh hivyo vibwengo kwenye picha ya pili hawana kiraka chochote ntakachoweza kuwapendea, mara midomo imepinda, wana makengeza, vikwapa !!! kwa kifupi hawana mvuto na ukiwatongoza hao unaweza kujikuta ukiona aibu hata kutoka nao out labda zile enzi zako za kuchota mafisi kwenye mabar kabla hujampata mama ngina, maana hata ndugu yako asprin anajua kuwa mwanamke mbaya ulianza kunywa pombe naya anabadilia anaanza kuwa mzuri jinsi unavyoongeza kinywaji nayeye ndivyo jinsi anavyozidi kuwa mzuri.
Ukichota lifisi kama hilo unaenda kulala nalo pombe ikiisha unaanza kujilaumu
 
Nitarudi baadae Mzee Mtambuzi... mkoloni kabana kweli hapa yaan sipumuiiiiiii.......
 
Last edited by a moderator:
Number 4 wanawake wengi hawaijui kabisa, yeye akipigiwa psiiiiiiiiiiii anajua kwamba karibu wanafika bei, akitongozwa ndo kabisaaa anakuwa na bichwa hiloooooo na kuona amependwa sana kumbe wala ni kusanifiwa tu. Wanawake muamke hii ni karne ya 21 mtaonjwa hadi lini na hawa wapishi kama vile mchuzi wa hitima?

Mmh! kama mchuzi wa hitima, nalo neno.
 
Back
Top Bottom