Recent content by gundogan

  1. gundogan

    UKUTA ni Mkakati wa CHADEMA kuizuia Serikali isifanye kazi yake

    Mbona hawakusema tuandamane Siku sukar imepanda. Wanataka kutuchezea mind zetu Hawa wazee wa wall
  2. gundogan

    UKUTA vs Arab spring: Zinafanana serikali isibeze inaweza kuwa na mwisho mbaya

    Tarehe 1 sept. Watu watakuwa kwenye mitandao na kuulizana VP wametoka au VP maana ss n wazur wa mitandao na sio kutenda. Pole sna wall.
  3. gundogan

    Kiapo cha John Pombe Magufuli 5/11/2015...naapa nitalinda na kuitetea Katiba

    Katiba, ilikuwepo toka nazaliwa mpaka ss, matokeo yake ndo hapa tulipo, ebu tumuache kwanza aendeshe nchi kwa utaratibu mwingine tuone nae atatufikisha wap. Mnaonaje wadau. Ila kunawatu wa jamii forum siwaelew kabisa, mara siku yakuapishwa rais walisema hatumtambui, haohao leo wanasema rais...
  4. gundogan

    Operation UKUTA: Hit n run tactic

    na nyie mtumbuen hyu
  5. gundogan

    Rais Magufuli atoa tafsiri mpya ya neno demokrasia!

    mwatoka povu, pole sana
  6. gundogan

    Rais Magufuli yashamshinda?

    ata ww katka familia yako huwez walidhisha wote, wapo watakao hoji baadh ya maamuz yako kwa kukashfu au kupongeza. najua n kipind cha mpito wa uongozaj ila utafaham mantik, ila kumbuka uongoz wa "mchakato na bado tunayafanyia kaz " ndo umetufikisha hapa. kiongoz bora n yule anayefanya maamuz...
  7. gundogan

    Wachumi na Wanasiasa Tusaidieni Tanzania Ilifikia Wapi ?

    kwa mawazo yangu naona kuna vitu viwili twaweza changanya. kuna uchumi kukua na uchumi kuendelea, kwa lugha iliyopanda ndege twasema( economic growth na economic development), mwananchi mmoja mmoja ananufaika pale uchumi unapoendelea na sio uchumi kukua. uchumi ili uendelee unaitaji shughuli za...
  8. gundogan

    Acha muvi iendelee SERIKALI ya mazingaombwe(uchawi)

    saf kk kwa ufafanuz wako
  9. gundogan

    Wanahabari tusitumike, nchi kwanza

    yatupasa kufikiri kwa kina, kila kitu uamuliwa kwa busara
Back
Top Bottom