Katiba, ilikuwepo toka nazaliwa mpaka ss, matokeo yake ndo hapa tulipo, ebu tumuache kwanza aendeshe nchi kwa utaratibu mwingine tuone nae atatufikisha wap. Mnaonaje wadau. Ila kunawatu wa jamii forum siwaelew kabisa, mara siku yakuapishwa rais walisema hatumtambui, haohao leo wanasema rais...
ata ww katka familia yako huwez walidhisha wote, wapo watakao hoji baadh ya maamuz yako kwa kukashfu au kupongeza. najua n kipind cha mpito wa uongozaj ila utafaham mantik, ila kumbuka uongoz wa "mchakato na bado tunayafanyia kaz " ndo umetufikisha hapa. kiongoz bora n yule anayefanya maamuz...
kwa mawazo yangu naona kuna vitu viwili twaweza changanya. kuna uchumi kukua na uchumi kuendelea, kwa lugha iliyopanda ndege twasema( economic growth na economic development), mwananchi mmoja mmoja ananufaika pale uchumi unapoendelea na sio uchumi kukua. uchumi ili uendelee unaitaji shughuli za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.