Kwa kifupi sana wana Jf kila siku Mtaani kwangu na Kauli kutoka kwa baadhi ya viongozi ninasikia wanasema Nchi ilifikia pabaya ,mara kwa tulipokuwa tumefikia Tulihitaji Mtu kama JPM ,mara Tanzania ilikuwa Shamba la bibi
Swali Wanauchumi tujuzeni sisi tusioelewa Tanzania tulifikia PABAYA au PAZURI ? Maana Toka awamu ya nne iko Madarakani tunaambiwa na Taasisi za kimataifa Uchumi wetu Unakua kwa kasi hata report ya Mwisho Ya IMF ilionyesha uchumi wetu unakua kwa 7.1% na inakadiliwa kuwa nchi itakayokua zaidi kiuchumi ukiacha Ivory coast .
Naombeni Maelezo .wanasiasa mnaposema ilifika pabaya mnamaana gani ?
Swali Wanauchumi tujuzeni sisi tusioelewa Tanzania tulifikia PABAYA au PAZURI ? Maana Toka awamu ya nne iko Madarakani tunaambiwa na Taasisi za kimataifa Uchumi wetu Unakua kwa kasi hata report ya Mwisho Ya IMF ilionyesha uchumi wetu unakua kwa 7.1% na inakadiliwa kuwa nchi itakayokua zaidi kiuchumi ukiacha Ivory coast .
Naombeni Maelezo .wanasiasa mnaposema ilifika pabaya mnamaana gani ?