Wezi wa kura ndiyo Mafisadi nambari moja, eti demokrasia!!!!??? Demokrasia ya wizi wa kura!!!!???? Rais wa mioyo ya Watanzania, ni Lowassa, na atawapa shida sana bado, ndiyo maana akisema anataka kufanya mkutano Jumapili hii Jangwani, mnahangaika kuzuia aibu!!!!!!!