Utapata pressure bure subiri kimya kimya ayo mapost watu wanapost ovyo sehem ya serikari kusema ni kwenye magazeta na tv na radioni izo sio taarifa sahihi
Mi naona ni visa tu apa mbona wengi waliosoma ud ni organic interlecho kama akina samwel sitta ;mwakyembe; zitto kabwe kwaninimsisifie awo kwanza ufisadi ni mtu binafsi sana na ukizingatia wote wamesoma elimu ya ujamaa na kujitegemea kama kuna mafisadi wamejifunza huko kwingine
Cha muhimu mimi naona wakristo tunao mjua mungu na kumwabudu tuendelee kumuomba mungu kwajiri yetu na watoto wetu ili tatizo limekaa vibaya sera ya siasa ya nchi yetu ilikua ni kuweka pembeni mambo ya dini so mkristo na mwislam tulikua sawa katika sheria moja lakini sasa ili ni tatizo katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.