Mkuu, MCC hawana ujanja, hizo hela lazima wazidondoshe tu.
Moja makampuni ya USA yana direct investments hapa nchini hasa kwenye upande wa UMEME (ie Dowans), gesi (ie. HALLIBURTON) na mengine mengi, matokeo ya uwekezaji wa hawa watu yanategemea ukuaji wa uchumi hasa maeneo ya vijijini ambapo...
Mkuu tambua tofauti iliyopo kati ya ujasiliamali na kufanya biashara.
Jua tu sipo kwenye entrepreneurship, nataka fanya biashara kwa hiyo fedha iweze izunguke ikue. Fursa za entrepreneurship zipo hata hapa dsm, na nazifanyia kazi, ila nishazoea kujiongezea kipata, sasa hata huko nnapoenda...
Kuna kuona fursa na kuambiwa fursa, what matters is profit in the business, pia kuona fursa ya eneo husika hutegemea namna gani unalijua hilo eneo vizuri.
vipi kuhusu real estates agents (kuuza, kupima na kupangisha?), vipi biashara ya kupokea watalii? kuna opportunities gani hapo malimbe?
kuna opportunities gani ukerewe?
kuna opportunities gani ukara?
belionea
GEITA FARM
brenda18
kuuuu
Tutor B
mwenye shamba
Nguruwe kilo wanauzaje machinjioni huko?
Pia upatikanaji wake upo vipi kwa sasa?
Maeneo gani ni mazuri kwa ufugaji wa nguruwe?
Vipi wizi wa Nguruwe huko?
GEITA FARM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.