pongezi sana JPM, hayo mawe ya Barrick pliz jenga SGR iende na Kigoma mwisho wa reli kulikozaliwa ubishi shoka ikaungua mpini ukabaki huko kwa watani zako . SGR ya Kigoma ni muhimu sana kuiunganisha nchi na maziwa makuu tujenge uchumi imara bila kumjali ZZK na chama chake, nasikia ZZK ni...
Leila ndo leo namsikia! kumbe bongo imesheheni waandishi makini! Dada yuko sahihi nani kutoka Afrika anaweza kuingilia uchaguzi wa US? watuache!
Marekani inajitutumua tu haina maajabu tena kama zamani Rais wao amepona Corona juzikati wamwangalie huyo kwanza kisha wapambane na China kwanza...
mzungu kamwe hawezi kufurahia mtu mweusi kuendelea, utawala huu mabeberu wanahaha! wamejaa chuki rushwa imepungua uchumi unakua! kila beberu anatoa waraka ila boss kaweka pamba masikioni yuko bize kujenga SGR!
mnyampaa nani kamuingiza chaka? level yake ni ubunge tu au udiwani! ni mgonjwa wa...
mi nampongeza ni kweli ameandika kizungu cha kiswahili , yaani unaandika kiswahili then unaiweka kwenye kiingereza! the flower has opened !! utatafsirije? ua limefunguka au ua limechanua?!!
mimi nimemuelewa but nimehisi aibu sana with his millions of grammatical errors! wakenya hutucheka sana...
Mosi , pongezi ni muhimu kuwa na hiyo SGR Dar to Mwanza watangulizi wameshindwa, cha msingi wana Kigoma wasubiri SGR reli ikifika Tabora wapaze sauti kubwa kipande cha Tabora Kigoma kiwekwe pia SGR , huwezi kusema mizigo hakuna Dar to Kigoma kwa reli wakati miundombinu ni chakavu and old...
hivi Kijana mkakamavu na Mzee aliekongoroka na kuchoka mwili na akili na alieshindwa uchaguzi kwa miaka sitini tangu uhuru ukiwa na akili zako timamu unachagua yupi?
hao wawili wakishindana kutimua mbio nani atashinda? wakishindana kick box nani ataua mwenzake? wakishindana kupiga kasia kutoka...
sawa kabisa, ni ngumu sana kwa mbongo kupatia English kwa 100% everytime , kuna mahali lazima tunafeli! ni bora tusikosoane , tumuachie malkia lugha yake! kawaida yao kina Rooney adjective hufuatiwa na noun, mf the fastest car, the strongest man, the richest boy, the ugliest girl, the poorest...
Kuna ndugu yangu anakaa Machinjioni Mwanza tulikuwa tunaongea nae kwa simu akasema huko kwao maji hutoka mara moja kwa wiki usiku wa manane siku usiyojua!! Nikasema hii kali maji hakuna bombani na ziwa viktoria limezunguka mji na maji hayana mwenyewe! Kweli umaskini ni akili si pesa!! Sasa watu...
jambo kubwa kama hilo kudaka majizi ya madini yetu ni la kupongeza ila ikumbukwe balaa kama hilo likishafikia public na mkulu akasikia basi hakuna maigizo tena, hayo majizi yafungwe tu hakuna namna ila yabanwe yataje kwanza na majizi wenzao wote nayo majizi mengine yasakwe maana majizi kwenye...
sidhani kama Mnyampaa atashinda sababu ufahamu wa raia katika uchaguzi wa urais bado uko kwenye kiwango cha chama cha Mwalimu, usalama wao ni ajenda yao kuu moyoni!! Mnyampaa anajisumbua bure! bora abakishe pesa za kampeni zimfae baada ya uchaguzi!
Duh! season one or two?
nafikiri wangeweka wazi kila kitu sababu za kumuengua inapendeza zaidi nchi ya uchumi wa kati kuweka data mezani wenye akili wachambue if what was done is logical or emotional! umaskini ni janga!
kampeni burudani sana! jamaa si mjinga! akimaliza kuchagua mchele na kujichotea kura za kina mama yoyoo kwa kuwaunga mkono sasa ataingia vijiwe vya boda boda na vibanda umiza kushabikia mpira na machalii za Ara akombe kura zao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.