Uchaguzi 2020 Kampeni za Gwajima zatingisha Jimbo la Kawe, aenda kupiga kampeni kwa watoto wa chekechea darasani

Inabidi aje kwanza kukufufua wewe maana naona u marehemu wa akili
Marehemu ni wale wanaomshabikia Gwaji boy

alisema ananunua treni mkashangilia

ananunua meli mkashangilia

ananunua ndege mkashangilia

kawaahidi kuwapeleka Marekani mkashangilia

kawaambia atamshinda Halima Mdee mnashangilia

Ndio maana mnahitaji ufufuo na uzima wafu nyie
 
Wanakawe haohao ndo watampa kumbuka pia mtaan kuna watu ambao hawako upande wowote na wamejiandikisha ikubalike tu kuwa Gwajima lazima ashinde
Mkuu ingekuwa sehemu nyingine labda, lakini pia hata huko wasingemchagua kutokana na historia mbaya kuhusu yeye. Ila kawe hata 15% ya kura zoye hapati. Mark my words (Tunza hii komenti)

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.

View attachment 1586399
Gwajima amedata baada ya kuona hali ni ngumu huku wapambe wakila pesa zake kama njugu
 
Tatizo la Gwajima haijui siasa, ana propaganda za uongo kabisa, wakati wenzie huwa wanaongea uongo unaofanana na ukweli, Gwajima anasema atawapeleka wananchi wa Kawe Marekani wakajifunze kuogelea!.

Mara aseme amechapisha vitabu 15 kwa kijapani, halafu nikivitafuta google sivioni.

Kwa uongo wake, huyu mtu hafai hata kuwa kanisani, bora atafute kazi nyingine ya kufanya..
Gwajima ana uongo wa kishamba sana
 
Marehemu ni wale wanaomshabikia Gwaji boy

alisema ananunua treni mkashangilia

ananunua meli mkashangilia

ananunua ndege mkashangilia

kawaahidi kuwapeleka Marekani mkashangilia

kawaambia atamshinda Halima Mdee mnashangilia

Ndio maana mnahitaji ufufuo na uzima wafu nyie
Haha haha hahah
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.

View attachment 1586399
Washington, DC — The ranking Democratic and Republican members of the U.S. House Subcommittee on Africa are packing a resolution urging the government of Tanzania to respect human and economic rights and to conduct free and fair elections on October 28.

House Resolution 1120 - sponsored by California Democrat Karen Bass, who chairs the subcommittee, and the ranking Republican, Chris Smith from New Jersey - reflects growing concern over political and economic developments in Tanzania by members of Congress who follow Africa.

Since the election in 2015 of President John Magufuli, the resolution states, "Tanzania has adopted and enforced multiple repressive laws that restrict freedom of the press, and of expression, assembly, and association." Citing reports of corruption and harassment of U.S. companies operating in Tanzania, the resolution criticizes the government's "lack of respect for contracts and business operations that threaten future U.S. businesses investment and trade partnerships."

Protection of U.S. investor rights is an issue that enjoys bipartisan support, and there are several U.S. commercial disputes in the country at this time. But the driver behind this Congressional expression of concern is the government's nearly four-year dispute with Symbion Power, centered on the breach of a 15-year power purchasing agreement for the Ubungo power plant.

Symbion is a New York-based independent power producer that develops and operates projects in several African countries and has operated in the Middle East and Asia as well.
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.

View attachment 1586399
Si alisema yislamu ni dini ya mpinga kristo,na wakatoliki ni dini ya nabii wa uongo
 
Katika hali ya kuonyesha kuchanganyikiwa na joto la kampeni na kupoteza uelekeo, mgombea wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima aliibuka kwenye darasa la watoto wa shule ya awali.
Hebu tazama hiyo video akiwa na Luca Neghesti mgombea udiwani kata ya Msasani.

View attachment 1586399
Laana ya kutafuna kondoo wake inamundama huyu mtaalamu wa ngono uzembe
 
Unaamka asubuhi hujajua kama utakula mchana halafu unaandika upuuzi kuhusu Gwajima ambaye yuko busy na kampeni jimboni halafu utakuja kusema mnaibiwa kura.

Nani asiyejua kuwa Halima amechokwa na wananchi wa Kawe na hawamtaki kabisa. Zamu hii atatusamehe
Sasa akichokwa mbadala wake awe Gwajima au.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom