Recent content by gud lawyer bad judges

  1. G

    Trump alishindaje?,Baada ya matokeo yakushtukiza,watu wageukia Google

    Nimeipenda hii ila Google wanaouwezo wa kujibu na majibu sahihi
  2. G

    Waziri mkuu Majaliwa: Serikali kuanza kulipa malimbikizo ya watumishi na kutoa ajira mpya

    Mm nadhani atapitia huu Uzi na atasoma mawazo yenu. Kama atayachukua poa kama atayaacha Sawa pia maana anatamuka mambo mazuri ila hayatekelezi sasa bora anyamaze afanye surprise tu
  3. G

    Akiwa Kiranja Tukiwa Sekondari Alininyanyasa Sana, Leo Hii Anahitaji Msaada

    Ni kweli kuna wakati tunapaswa kujifunza kwa machungu na kuwajibika kwa matendo yetu mabaya. Mm ckuwahi kuonewa popote wakati nasoma ila nachukia sana mtu anaeonea wengne kwa kuwa kuna ndg yangu alisha onewa nliumia sana
  4. G

    Akiwa Kiranja Tukiwa Sekondari Alininyanyasa Sana, Leo Hii Anahitaji Msaada

    Kuna mijitu inaudhi sana achana nalo kitajifunza kadri shida zitakavozidi. Mtu anakusingizia unapiga wengne hipata ulemavu na huku mtaani husingizia watu mpaka wengne wanafia gerezani sipendi majitu yanayoonea wengne halafu yenyewe yanaomba excuses foolish Kabisa wewe liache. Ungefukuzwa Shule...
  5. G

    Hongera Serikali kwa kuamua kufanya uhakiki wa vyeti vya walimu na watumishi wa umma

    Ww mwenyewe ndio unaandika hisia. Your too emotional rather than reasonable. Kama huna cha kupongeza tulia.
  6. G

    Rais John Magufuli, Masters fake zipo NSSF

    Kesi ya Kenya na somalia kwenye mpaka ilishahukumiwa au bado
  7. G

    Rais John Pombe Magufuli tunaomba msamaha

    Mhh. Let me get silence on this coz I know nothing on it.
  8. G

    Nang'atuka kwani ualimu siyo baba yangu wala mama yangu

    Ni uamuzi mugumu ila naamini hata hao wote walio juu walifanya maamuzi magumu mfano Nyarere Makamba,Magufuli na wengne wengi tu.mm nakupongeza na nakuombea Nina iman Mungu akikusaidia hata ukiuza viatu unaweza make life hakuna cha sijui uwe na million 10 wala moja sijui mtaji unaweza anzia Zero...
  9. G

    Kisa cha chenye mafunzo cha kuweza kung'amua

    Kila unaekutana nae unakitu cha kujifunza na usizalau usiemjua na tuache mazarau
  10. G

    Padri Mapunda akosolewa vikali baada ya kumshukia Rais Magufuli

    Sasa tatizo la padri hapo ni nini? OK fikiri amesema kinyume chake mpongeze sasa. Mbona mambo ya kawaida tu yeye anafikiria hivo full stop
  11. G

    Hivi kwanini watu wa hali ya chini wanakuwa si wastaarabu?

    Naunga mkono hoja sio wastaarabu hata kidogo mfano wauza ndizi stendi na wengne wengi hawana aibu yaani inakera kiukweli wengi wao si wema sana japo si wote
  12. G

    Nafasi za kazi TPA

    Dah mm nimetafuta hadi nimenyoosha mikono nimejipa miezi miwili kutafakari cha kufanya ili by 2017 niwe busy
  13. G

    Waziri Simbachawene ni jipu, anapaswa kutumbuliwa!

    Wengne wamehanishwa ukidai malipo utasikia halmashauri hazjaletewa pesa .
Back
Top Bottom