Waqt huo makampuni ya tritel na mobitel wakitoza kwa dakika hata ukiongea sekunde kumi wanatoza dakika sasa vodacom wakaja na utozaji wa sekunde na tangazo likawa kwa nini ulipe kingi wakati umetumia kidogo? lilikuwa murua sana ingawa vijana wa mjini walilibadilisha maana kwa kupelekea kuwa...
azam ya msimu huu naifananisha na nyota nyekundu pilsner na sigara wale wakongwe kama mimi watanielewa jamaa walikuwa na game plan nzuri kwa mechi nne tu kwa msimu. nashukuru sisi tuliwapa nje ndani ila ki ukweli azam wameonyesha uwezo mkubwa ila hawakuwa makini kwa nafasi walizo tengeneza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.