demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Vijana wengi mtakuwa hamna kumbukumbu ya huu msimu.
Yanga ilikubali kufungwa na Simba mechi ya mwisho ili simba isishuke daraja na kwa kufungwa huko Yanga ikakosa ubingwa.
N.B kwa new school aka "soccer Google" nawakumbusha "zamani" game moja ilikuwa na pointi 2 ukishinda!
Upendo huu haujawahi kutokea na haitokuja kutokea tena.
Mtu na Mai Wake
Yanga ilikubali kufungwa na Simba mechi ya mwisho ili simba isishuke daraja na kwa kufungwa huko Yanga ikakosa ubingwa.
N.B kwa new school aka "soccer Google" nawakumbusha "zamani" game moja ilikuwa na pointi 2 ukishinda!
Upendo huu haujawahi kutokea na haitokuja kutokea tena.
Mtu na Mai Wake