Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,273
Waqt huo makampuni ya tritel na mobitel wakitoza kwa dakika hata ukiongea sekunde kumi wanatoza dakika sasa vodacom wakaja na utozaji wa sekunde na tangazo likawa kwa nini ulipe kingi wakati umetumia kidogo? lilikuwa murua sana ingawa vijana wa mjini walilibadilisha maana kwa kupelekea kuwa unachukua demu bonge waqt unashughulika aah waqt umekwenda wapi!