Yaani hawa jamaa sijui kama mamlaka husika zinaliona tatizo lililopo kwa taasisi hii. WAFANYAKAZI WAO WAMESAHAU MAJUKUMU YAO WANAFANYA WATAKAVYO NA KUWAJIBU WATU HOVYO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafanyakazi wengi wa NIDA wana kauli mbovu kwa watu wanaoenda kupata huduma ofisini kwao. Jana nimefika ofisi za NIDA manispaa ya Moshi mjini zilizopo KDC lengo likiwa kuuliza kuhusiana na kitambulisho baada ya kutumiwa Ujumbe kuwa tayari kitambulisho kishagaiwa na kupewa NIN, lakini zaidi ya...
Exactly mkuu... Kama kuna fursa anaiona kwa sasa baada ya miaka hiyo mitatu itakua ishaota mbawa... Kama anauwezo wa kuifanyia kazi bhasi wakati wake ni sasa. Hiyo fursa haitomsubiri amalize chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.