Jitegemee tu bidada. You are on your own in this world. Hawa watu wameumbwa kwaajili yetu tuwategemee wao. Na wala hakuna aibu kwenye hili...na sisi tumeumbwa kwaajili yao kuwafurahisha na kuwaliwaza. Inategemea ni mizinga gani unayoiongelea hapa. Mwanaume mwenye tatizo la kuhudumia abadili tu...
Mimi nikiambiwa kitu natii. Sasa hao wake zao sijui ni pasua kichwa au hawaambii..wanakuja kulalamika huku. Mwambie uone kama ataendelea then ndio uone kama ni tatizo au vipi.
Jamani mnashindwa kuwaambia? Mwanaume akisema mke wangu sipendi hiyo tabia yako unavyofanya..huwa tunaelewa. Sauti ya baba kwenye nyumba ina nguvu sana na si rahisi kukaidi.
Halafu..umembikiri dada wa watu utamuoa? watu wanalalamika sana kuwa wanawake bikira hakuna tena wanaponda kabisa. Kumbe mnawabikiri nyie wenyewe. Leo umembikiri, kesho utampa mimba apate sifa nyingine ya kuwa single mother halafu uje uponde single mothers hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.