Recent content by Grok

  1. G

    PostGE2025 Hotuba ya Rais Samia yawabubujisha Machozi ya Furaha watanzania

    Chawa la kisafwa. Unatuaibisha watu wa nyanda za juu
  2. G

    Wenye nyumba mnataka mtumalize sasa. Hela ya Tahadhari Mwezi Mmoja ndio nini sasai?

    Hii niliikuta Ujerumani. Kule unatoa kodi ya miezi mitatu kama tahadhari landlord anakaa nayo, wenyewe wanaita "Kaution". Siku unapoondoka landlord anakagua nyumba then anakurudishia. Ila uzuri wa kule hakuna mambo ya kulipa kodi ya miezi sita, unalipa kwa mwezi tu.
  3. G

    Kununua gari used

    Habarini wakuu, Nataka kununua gari used kutoka kwa dalali. Ni vitu gani kuwa navyo makini nisije pigwa? (Niko based Arusha)
  4. G

    Kwanini wanaofanya mapinduzi ya kijeshi huwa ni junior officers?

    Senior officers wanakuwa wanalamba asali. Wanataka status quo iendelee
  5. G

    Captain Tesha ameleta taharuki

    Dah hii mkuu inabidi uiwekee tags za <sarcasm> </sarcasm>
  6. G

    GE2025 Suala la Makamu wa Rais kuwa Rais pindi Rais anapofariki inaleta hali ya kutoaminiana na hivyo kupunguza kasi ya maendeleo

    If the President of the United States dies while in office, the Vice President immediately becomes President. This process is clearly established in: The U.S. Constitution, Article II, Section 1 (original framework). The 25th Amendment (1967), which clarified succession and procedures for...
  7. G

    Ipi ni AI nzuri kutumia kati ya Deepthink na ChatGPT?

    Nadhani unamanisha Deepseek na siyo "Deepthink"
Back
Top Bottom