Kigwangala hafai kwanza alikwepa kodi aliagiza vifaa akasingizia vya chuo halafu akaviuza kwa watu pia alileta mabasi akisema ya wanafunzi badala yake ameyapangia njia
Magufuli ni mzima na mwenye afya azunguke naye kwa ajili gani halafu huyu mama ana kazi sasa Edo ni mgonjwa lazima mkewe amuangalie halafu huyo mama hana kazi
Wewe ni muongo Magufuli yuko juu sana tena usipime Edo yuko chini tena umaarufu wake unazidi kushuka pamoja na CDM yake iliyogeuka kuwa chama kifisadi na ukanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.