Mleta uzi hapo umechakachua hizo quotations kuna baadhi ya vitu umeviacha ambavyo vingeleta maana nzuri tu. Hivyo Dr. hakuwa maana mbaya bali wewe ndo umemnukuu vibaya tena kwa makusudi ili lengo lako litimie
Ama kwel huyu nepi ndo kabisaa haelewi kwamba anaongea na watanzania walioenda shule na waelewa. kama ni kuwekeza kwenye pamba kwanin afanye hiyo michakato wakati wa ziara ya kuimarisha chama?
Uchumi utakuwaje wakat % kubwa ya fungu la bajeti linatengwa kwa matumiz binafsi na sio kwa maendeleo? Pia hata linalotengwa kwa maendeleo huwa no return hapo uchumi utakuwa kwel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.