Spika Anna Makinda:tunaelekea katika machafuko

Spika Anna Makinda:tunaelekea katika machafuko

Kihega

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2010
Posts
1,339
Reaction score
180
Katika kile kinachoonekana kuwa hofu ya kutokea machafuko ktk nchi ya tanzania, spika wa bunge la Tanzania Anna Makinda leo ktk salamu zake za Serikali kwa waombolezaji ktk mazishi ya mmoja wa watumishi wa muda mrefu katk serikali hii marehemu Mzee Nyega huko Mbezi Mshikamano(kwa Yusuf) ambae alikuwa muumini mwamifu wa kanisa la wa-adventista wasabato Magomeni ameomba watanzania waiombee Nchi hii kwani viashiria vya vurugu ktk mchakato wa katiba vikiwa dhahiri.Amewalaumu wabunge wake kuwa kiini cha tatizo.
 
Katika kile kinachoonekana kuwa hofu ya kutokea machafuko ktk nchi ya tanzania, spika wa bunge la Tanzania Anna Makinda leo ktk salamu zake ktk mazishi ya mmoja wa watumishi wa muda mrefu katk serikali hii marehemu Mzee Nyega huko Mbezi Mshikamano(kwa Yusuf) ambae alikuwa muumini mwamifu wa kanisa la wa-adventista wasabato Magomeni ameomba watanzania waiombee Nchi hii kwani viashiria vya vurugu ktk mchakato wa katiba vikiwa dhahiri.Amewalaumu wabunge wake kuwa kiini cha tatizo.
Machafuko yangetokea alipoziba njia kwa kujenga ukuta wa nyumba yake iliyotoka na pesa za mafisadi. Machafuko yangetokea alipoombwa na Mafisadi kuwania kiti cha spika na kumng'oa Sita.
 
Kama anayosema yapo au yalikuwepo kwenye moyo wake basi asingekengeuka na kupora UHURU kusema na kutoa hoja kwenye bunge letu.Vinginevyo ni mnafiki tu.
 
Hicho kimama kinafki ka nini!Issue yote kilikuwa kinaijua kikakaa pembeni ili kikinuka kije kujidai kinapiga mstari.~HATUDANGANYIKI~"AMANI HAIOMBEWI,AMANI NI TUNDA LA HAKI".
 
Yuyu mama hajui kuwa SABATO na siasa ni vitu viwili tofauti
 
Yeye ndio anakuja kushtuka sasa hivi wakati ndio mwazizi wa haya yote yanayotokea bungeni pia Amani haipatikani bila haki hivyo ataendelea kuona mengi zaidi.
 
Hana jipya! Kiti chake ndo kitakuwa chanzo na damu itakuwa juu yake
 
...amani ni tunda la haki...huyo bi kiroboto atendi haki bungeni halfu unataka amani itoke wapi?...
 
Sasa ni ku deal na nyie ma subwoofer maana ndio tatizo na mkiendeleza up.umbavu wa biznes as usual lazima mpigwe makofi.



==============
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa.
==============
 
Kiukweli,Spika aliharibu sana kuongelea ile ishu pale msibani na aliharibu zaidi kwasababu alikuwa anaongea kwa jazba.
 
Wao walimtuma Ndugai alete fujo bungeni...! Sasa anamlaumu kwa nini.....,....
 
akiwa anatenda haki sawa kwa wabunge wote machafuko hayatatokea ila kwa anavyopendelea wabunge wa CCM machafuko yatatokea na wa kumlaumi ni yeye na wasaidizi wake na sio kuwalaumu wabunge,
 
Wewe mtoa mada msimamo wako juu ya kauli ya huyo mama ni nini??????

Subwoofer (King Kong III,Jf 2013)
 
Mh spika Anna Makinda hongera kwa kazi ngumu unayo infanya bungeni na changamoto nyinyi unazo zipata kwa wabunge vijana na wasomi na bado hawajakuwa kisiasa wamelifanya bunge letu ni sehemu moja ya ukumbi wa starehe matusi yoyote haya bado una control na kujaribu kuwajulisha kama wapo kwenye bunge wafuate kanuni na wengi wao sikufichi ni walevi na wavuta bangi kwahiyo mtu kama wewe hujazoea ku deal na watu kama hawa najua kweli unajukumu kubwa sana na lazima utumie busara ya hali ya juu kabisa unapo kuwanao pale bungeni unajua tena mvuta bangi anaweza hata kuja kukupiga hata wewe mwanamke akafikiria alikuwa anampiga mwanaume mwezake ushauri ukiwa bungeni chukua mabausa wawili wawepo mbele hao wavuta bangi na walevi wasije kukupiga bure spika wetu honger kwa kazi ngumu unayo ifanya na ku deal na walevi na wavuta bangi
 
Back
Top Bottom