Equal chance IPI unayoizungumzia?mbona ITV wanaongoza kurusha mijadala ya ukawa na si Ccm?au unazungumza equality IPI?ITV wanahabari nyingi za ukawa kuliko Ccm,IPO wapi equality unayouzungumzia?acha mahqba ya siasa.
Naomba kusema kuwa mtoa Uzi anapenda kuangalia na kusikia vyombo vya habari vinavyoisifia na kuiongelea vzr Chadema na ukawa,na sasa kumsifia Lowasa kwake ndio weledi.Nayasema haya coz Mara nyingi huwa naona vijana na viongozi wa Chadema wakialikwa ktk mijadala star TV,na wanapewa nafac kubwa...
Wabongo bwana kwa kutoka nje ya mada huwaga hajambo,yaan hapo wte nje ya mada,mtoa mada mwenyewezero,wachangiaji wote akili moja,aliwahi kusema Dr.Slaa kuwa safari ya kuikomboa nchi ni ndefu,mada ni star tv,lakini imeeingia tena ccm,kwa maana nyingine sasa kama mada ingekua itv,basi chadema ama...
We kweli respect wa boda,una ubishi wa kishabiki ambao hata haja zako utadhani umetoka makaburini
Rais ni mtu kama wewe?
Anajibiwa sehemu yeyote ile?hata chooni?
Una akili kweli wewe?
Na wewe ndio aina ya wanachama wa CHADEMA typically,mnaochukulia mambo rahisi rahisi tu,na kuona kila kitu...
Siyo Kiseke,ni Kisesa,na uache kudandaganya,mimi nimekuwepo hadi anauawa,ninyi ndio mnapotoshaga umma,huo ugomvi huuelewi,na jana hawakwenda kujenga bali alituma vijana kwenda kuweka alama ili kuwatahadharisha wananchi kutofanya shughuli zao ktk mlima huo.
Na kama hujui Mabina alikuwa na kila...
SASA maandamano ya CHADEMA toka buzuruga kwenda furahisha yamepata nguvu,wenye magari tutakuwa na nafuu.
Na bado watapita hapo juu kila siku,ila mwisho wa siku watasema serikali haijafanya lolote huku wakiwa juu ya daraja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.