Recent content by GREATTHINKERDAIMA

  1. GREATTHINKERDAIMA

    Ipi Bima bora ya Afya kati ya NSSF na NHIF?

    Pole sana, hawa ni jamaa wasio na mahusiano hata kidogo.
  2. GREATTHINKERDAIMA

    Hivi ni kwanini maswali ya Kipima joto ITV huwa ni marahisi sana!!?

    ni marahisi ili wenye akili nyingi wasijibu.
  3. GREATTHINKERDAIMA

    Jakaya Kikwete kumrithi Ban Ki-Moon UN?

    Yakheeee!!!!! unaburudisha nafasi yako tu; "raha jipe mwenyewe".
  4. GREATTHINKERDAIMA

    Kati ya makampuni yaliyokwepa kodi mbona hatusikii yanayomilikiwa na Lowassa?

    Tuacheni fitina na majungu, nchi hii ni yetu sote. Ikiwa kuna mtu ana makampuni na halipi kodi afichuliwe tu, hakuna namna nyingine. Lakini kama anayo na ni mlipa kodi mzuri haina problem. Awe Lowasa, Jk's son, ma-fish (73),na hata akina vodacom, tigo, airtel, hallotel, ttcl, posta, quality...
  5. GREATTHINKERDAIMA

    Nimekuta SMS za kimapenzi kwenye simu ya mpenzi wangu

    Mmh!!! kuwa makini ataja kukuumiza. Yaweza kuwa ni zaidi ya kicheche na hata huyo aliyempigia simu ni kicheche mwenzake. Lakini pia yaweza kuwa ni kweli ni vyema kutumia busara ya hali ya juu kuthibitisha hilo.
  6. GREATTHINKERDAIMA

    Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

    Hakuna kuleana tena, nchi hii ni ya watanzania wote na haiwezekani wachache kuendelea kuiibia nchi kwa manufaaa yao binafsi. Binafsi nafarijika kuona Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa akifanya kazi yake kwa uhuru. Zamani "business as usual" sasa basi.
  7. GREATTHINKERDAIMA

    Maisha yangu ya siasa yameanza kuwa magumu nawaombeni ushauri!

    Bora uhame nchi tu tena ukiwa bado una nguvu Julie huko uendako waweze kukutumia kwa maendeleo ya nchi yao.
  8. GREATTHINKERDAIMA

    Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    Weka maoni yako juu ya Mhe. Kasim Majaliwa.
  9. GREATTHINKERDAIMA

    Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

    Kwa hakika Tanzania itakuwa imempata Rais ambaye ni wa aina yake na hakuna mtu mwenye uwezo wa kutabiri kuwa anawaza nini na anapanga nini!!!! Watu wengi walijaribu kuweka fikra zao kuwa Waziri Mkuu atakuwa Dr Harrison Mwakyembe na kujiaminisha kuwa ndiye pekee anaefaa. Kweli imethibitika sasa...
  10. GREATTHINKERDAIMA

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Kama ni Lulu kweli angepewa hata presidential post wakati nomination ndani ya chama ikifanyika. Huyo ni mpiga deal mjini tu. Remember he once said "wabunge wa Tanzania wanafikiri kwa kutumia makalio" then naye anachukua form aende bungeni akafikiri kwa kutumia hiyo sehemu ya nyuma ya kukalia...
  11. GREATTHINKERDAIMA

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Ndugu!!! umekodishwa kumnadi? mbona unamshadadia sana? kama kweli anafaa Ubungo wangemchagua Kubenea?
  12. GREATTHINKERDAIMA

    Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

    Ndio kakutuma umsifie? au unajipenfekeza kwake? Au kujitoa kwake na kumuunga mkono ndugai ni kutafuta fadhila ili afikiriwe na yeye? Maana sasa hana lolote yupo yupo tu. Ubunge umemgomea, uspika hangeuweza hata chembe. Tuacheni kutumika vibaya, huyu jamaa hana uwezo wowote wa kiuongozi.
Back
Top Bottom