Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

Dk. Masaburi ameonesha ukomavu wa kisiasa

Hakika tunaitaji viongozi kama masaburi .nashangaa serikali imuache mtu kama yeye ni mtu muhimu kwa serikali ya tanzania.hakika ametumia elimu,busara yake na ukomavu wa kisiasa katika hili. Kweli ccm wana watu.

Kama ni Lulu kweli angepewa hata presidential post wakati nomination ndani ya chama ikifanyika. Huyo ni mpiga deal mjini tu. Remember he once said "wabunge wa Tanzania wanafikiri kwa kutumia makalio" then naye anachukua form aende bungeni akafikiri kwa kutumia hiyo sehemu ya nyuma ya kukalia. FIKIRI TENA NDIO URUDI
 
Wow, someone must be sick !!! Unaongea ----- gani huu tena !!

Unaweza kumuona ni kiongozi wa aina gani kama ukitumia akili kufuatilia siasa zake. Unaweza kuona namna alivyojitoa mwanzoni na kumuunga mkono Ndugai na muda mfupi ujao Ndugai atakuwa spika, sasa mwanasiasa kama huyo si wa kumbeza kirahisi rahisi.
 
Back
Top Bottom