Inaonekana na ww unaufahamu Fulani hivi hebu nisaidie kunielewesha kwa nini unasema unatambua vitabu vi 4 tu? VP kuhusu vingine mm najua zaidi ya vitabu 66 vilivyo kwenye biblia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mshana kwa nini ndoto ni mafumbo? Mbona watu wa zamani kwenye biblia waliota ndoto zilizokuwa na tafsiri za moja kwa moja kwa mf farao! Tafsiri sahihi ya ndoto ni ipi? Nimewah sikia kuwa Mungu hutumia ndoto kusema na watu wake! Kama hivyo ndivyo kwa nini atumie mafumbo? Nimekuuliza kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.