Recent content by greatbrain

  1. G

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Leo ndio nimeona uzi huu ngoja nijaribu Umri: 27 Elimu : degree Kazi: Manager McFs Jinsia: Me Ndoa: 2021 Location: Pwani Status: single sina Ninayemtaka: Umri : 18- 27 Kabila: sukuma, kurya, muha n.k Elimu: at least form 4
  2. G

    Maabara zinavyoeneza UKIMWI kwa makusudi

    Asante kwa taarifa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. G

    Namna Biashara ya 'Network Marketing' ilivyonipeleka Polisi

    Mimi nilizifanya nikiwa chuoni UDSM! Nilichofaidi ni mafunzo tu ya biashara na vihela vidogovidogo, niliachana nazo! Nimeshakua mjanja! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. G

    Utajiri halali: Dhana isiyo na ukweli

    We ni tajiri au maskini? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. G

    Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

    Afande bafeni D COY pale RUVU JKT 2014 Nilikuwa nabust sana kwenye misos, niliwahi kusepa na misos kwenye beseni nkaenda kulia angani halafu nkashindwa kutembea. Nilikuwa dogger hatari. Kuigiza mgonjwa wa kudumu. Kucheza hasa kigodoro. Madoso Yale hatarihatari. Chenja. Jkt raha. Sent using...
  6. G

    Mchumba Amenirudishia pesa aliyoniomba

    Wewe chukua hiyo usiiachie wala usiulize imetoka wapi ili aendelee kurudisha na faida Sent using Jamii Forums mobile app
  7. G

    Pitia hapa tafadhali, usije ukajilaumu!

    Zama chumvini kwa kutumia mkono Sent using Jamii Forums mobile app
  8. G

    Nimejipima VVU, niko Negative (-)

    Natuma CV tahadhal ipokee 4 pages Sent using Jamii Forums mobile app
  9. G

    Nahitaji mkopo wa milioni 8, narejesha milioni 10 ndani ya mwezi

    Ww una akili sana! Chungeni Sent using Jamii Forums mobile app
  10. G

    Nilimdanganya sana ili nipate tu 'mzigo', sasa nimezama kweli

    Aisee nimecheka sanaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. G

    Naomba kujua ukweli kuhusu Alliance Global Company

    Pole sana! Hakuna pesa rahisi na ya bure! Lazma uifanyie kaz haswa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. G

    Kuna haja ya kichuri kuanza kuuzwa supermarkets na kwenye maduka makubwa

    Huku kwetu hicho kitu ndo Kila kitu ! Nyama choma hailiki bila kichuli! Wazo zuri Sent using Jamii Forums mobile app
  13. G

    Napoteza pesa bila kuelewa

    Kazi za kushika pesa ni vigumu sana kuzuia loss! Lakn unaipunguza kwa haya: 1.Funga hesabu Kila siku 2. Rekodi Kila muamala unaofanyika 3.Hyo chuma ulete sina iman kama ipo Sent using Jamii Forums mobile app
  14. G

    Mkuu wa Serikali ya wanafunzi (DARUSO) na wenzake, wasimamishwa masomo kwa muda usiojulikana

    Kwa hyo ww ndo FFFU unayeandika kijinga hivyo? Unayajua maisha ya chuo na Dsm yalivyomagumu pindi mkopo unapocheleweshwa ilihali ni mkataba waliokubaliana? Kenge ww Sent using Jamii Forums mobile app
  15. G

    Zipi ni njia bora za kumpata mfanyakazi mwaminifu

    Mlipe vizuri Mheshimu Msaidie Msikilize Msimamie vizuri, kagua utendaji kazi Uwepo eneo la kazi kadri uwezavyo Angalia historia yake ya uaminifu Hakuna mwaminifu 100% Akizingua fukuza haraka Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom