Malope ni mwepesi sana, badala astick kwenye majibu ya maswali alioyatengeneza yeye mwenyewe kwa utetezi wake why umeme unakatika katika
Yeye anaanza kujitetea eti tatizo ni Waziri na Rais basi wapewe muda kama waliowatangulia si ni wehu huo?
Bure kabisa!
Wewe Muumini wa data sasa ongea na mwenzio mje na data za bei ya mafuta, Umeme, vifurushi vya mitandao na tozo za mihamala nyie si ni watu wa takwimu.
Halafu mtuambie je upande huo na upande wa Pamba wapi Mwananchi anaguswa moja kwa moja na kuyumbisha mfumo wa maisha ya mtu wa hali ya chini.
Punguza kujipendekeza!
How Mama had had played a role kupandisha beiya Pamba ambazo soko na msimu ndio huamu kupanda au kushuka kwake.
Takwimu uchwara kutafuta vyeo.
Msiba wa awamu hii jiunge na Stivu nyerere tu tujue moja.
Huu muda ungeutumia kutafuta walau ka digirii au Masters ingekufaa...
Punguza kujipendekeza mmeanza kujitokeza akina Musiba wa awamu hii.
Tumpe muda maana miradi yote iyo hakuna uliokamilika, asilimia moja yq kodi watumishi wamekutana na 2500 kama myongeza nadhani amewapa ya vocha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.