Bei ya Pamba Tanzania imepanda kwa 125% toka mwaka wa fedha 2020/21 - 2021/22

CM 1774858

JF-Expert Member
May 29, 2021
4,984
4,083
BEI YA PAMBA JUU,TOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA, SAMIA, SAMIA


Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo,

Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% liicha ya awali bei hiyo kuzinduliwa kuwa Tshs 1,050/kg FY2021/22,

Kwalugha rahisi kama sio Mama Samia bei ya Pamba leo ingesalia kuwa ni Tshs 1,050/kg.

Ni dhahiri hapa Mama kapindua Meza,Kasi hii ya Rais Samia Watoto wa Mjini wanaiita "Utajua Hujui" kwa muda huu mfupi wa Mama Samia bei ya Mbaazi, Kawaha, Alizeti, Korosho,Chai zote ziko juu na malipo yote yanafanyika mkono kwa mkono tena by " Cash money"

Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo,

Yaani " Masikini anamkopesha Tajiri " ( this could only happen in Tanzania) huwezi kukuta utaratibu huu popote duniani ila sasa "Mama hataki dhuluma, tumwombee"

Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" Tangu Miaka ya 2000 Chama cha UDP cha Mzee John Cheyo na baadae Chadema kwa agenda ya "Bei ya Pamba" kwa kutumia slogani yao ya " NO CASH NO COTTON " yaani "HUNA HELA HUNA PAMBA"

wamekuwa wakiihenyesha CCM katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " Mzee John Cheyo alifanikiwa kuitoa Pamba toka Tshs 300 hadi Tshs 800 baadae Rais Jakaya Mrisho Kikwete akaipaisha mpaka kufikia wastani wa Tshs 1,420 FY2005|06-2015|16.

Baada ya hapo bei ya Pamba imekuwa ikishuka kutoka Tshs 1,420 ya JK, to1,000 then 1,100 kisha 810 FY2020/21,

Hi ni sawa na kusema,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,

Wakati Mzee Jakaya anaondoka madarakani 2014|15 bei ya kuuza pamba nje ilikuwa Tshs 2,165/kg au US$ 1,038/Tani huku Mkulima akiuza kwa Tshs 1,420/kg,

Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba walipata faida ya Tshs 735/kg ya Pamba walioinunua,Lakini FY 2017|18 bei ya kuuza Pamba nje ilifikia US$ 1,371/Tani au Tshs 3,099,629/tani sawa na Tshs 3,010/kg huku Mkulima huyuhuyu akiuza Pamba kwa Tshs 1,100/kg, yaani katika kila "Kilo moja" ya Pamba walanguzi|Wanunuzi walipata faida ya Tshs 2,000/kg ya Pamba watakayouza nje.

Hii ni sawa na kusema Mnunuzi|Mlanguzi wa pamba FY2014|15 alipata faida ya Tshs 735/Kg kwa kununua Pamba kwa Tshs 1,420/kg toka kwa mkulima,

Na Mnunuzi huyo wa Pamba FY 2017|18 alipata faida ya Tshs 2,000/kg tena kwa Pamba aliyoichukua kwa mkopo kwa bei ya Tshs 1,100/kg baada ya kuiza nje kwa Tshs 3,010/kg.

Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

photo_2021-11-10_07-06-30.jpg
 
Huyu Mama kama mpaka pamba iliyomshinda Msukuma mwenzetu ameiweza basi hakuna wa kumtoa madarani,

Sisi alizeti imefikia elfu 12 toka buku 5,Mwanzoni mimi sikuwa namkubali ila kwa sasa nataka rasmi 2025 Samia anayo kura yangu,
 
Chanzo cha taarifa Boss

Mimi Kaka yangu analima Pamba alliniambia pamba inatafutwa kama dhahabu kilo ni 1,720 huenda tayari imeshafika hiyo 1,800,

Piga simu bariadi watakwambia huyu Mama anaakili sana,

Yale mambo yanayowakera watu fasta anayamaliza,

Hata Magu pamoja kuwa msukuma alishindwa pamba kabisa,

Go Go Mama tunakupungia mkono,
 
mi nimesikia mbaazi zinauzwa 150,000 gunia zikiwa shambani.

Muda ni referee mzuri,
Let us wait and see,
NAPE NA NDUGU ZAKO MSIACHE KUMSHUKURU MUNGU KWAAJILI YA MAMA SAMIA | MBAAZI IMEPAA TOKA TZS 50 FY2017|2020-TZS 1,600 FY2021|22 KWA KILO,


Na. Emmanuel Allute Jr,
____________________________


Bei ya mbaazi Tanzania chini ya Rais Samia imeongezeka karibu ( X3200 ) kutoka Shilingi Hamsini za Kitanzania hadi kufikia Tshs 1,600 mwaka huu,Mtakumbuka ni trh 19|3|2021 ndio siku ambayo Mama Samia alikabidhiwa nchi hii kama Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT wa awamu 6,huku bei ya mbaazi ikiwa ni chini ya Tshs 200|50.Kwalugha rahisi Fuso la Tani 7 lilijazwa mbaazi za watoto wa masikini kwa Tshs 350k Tu,Leo baada ya Rais Samia Fuso hilohilo linajazwa Mbaazi hizohizo kwa Tshs 11.2M,Mama Samia ameiongeza bei hii kwa zaidi ya 3,200%,Ukifungua hizo link utawasikia wakulima hao wakilalama,Mbaazi kutoka kuwa zao la Kibiashara hadi kuwa Chakula cha Ng'ombe na Nguruwe huku baadhi yao wakizisusa mbaazi hizo Shambani bila ya kuzivuna,Inaumiza,


Nape Nauye|Zitto Kabwe kwenye bunge la 10 ndio vijana miongoni Mwawabunge wachache waliopaza sauti zao juu ya mporomoko mkali wa bei ya mbaazi Tanzania,Wakati flani Nape akishauriwa na Naibu Waziri wa kilimo wa wakati huo kama soko hakuna ni bora kuwahimiza Wapigakura wake Wale Mbaazi kwa wingi kwakuwa mbaazi zina Protini nyingi, majibu yaliyoonesha kama ni kejeli mbele ya Mhe Nape Mbunge wa Mtama na kwawalima mbaazi wote nchini,Ujio wa Rais Samia umeshusha neema|faraja tena na tena kwa wakulima|Wasambazaji na Wauzaji wa Mbaazi wa nje na ndani ya Tanzania,Kwenye hili Rais Samia anastahili pongezi toka kwa Watanzania wote na hasahasa Wale walioambiwa Wale mbaazi ili wanenepe badala ya kupata Pesa ambayo leo Wanaifurahia,

Mtakumbuka,Mwaka wa fedha 2015/16 bei ya Tani ya Mbaazi ilikuwa US$ 715.11,Tanzania tulijipatia kiasi cha US$ 113,760 ikiwa ni sawa fedha ya kuuza Mbaazi nje jumla ya Tani 160 tu ,Dollar hizi ni sawa na Tshs 264M,Gafla Mauzo hayo yaliporomoka mpaka kufikia US$ 5,112 sawa na Tshs 11.3M Tu,FY2018|19|20 ambazo ni sawa na mauzo ya Tani 5 tu za Mbaazi,Mapato haya ni sawa na anguko la 95.7% nadhani hii haijawahi kutokea popote pale dunia wakati huu bei ikiwa ni US$ 0.023 kutoka US$ 1.14 FY 2015|16|17.Bila shaka haya ndio yaliwaliza wakati wote akina Nape pale Bungeni kwenye bunge la 10.Leo Mama amepandisha bei ya Mbaazi mpaka kufikia US$ 0.73 kutoka US$ 0.023 ikiwa ni sawa Tshs 1,600 kutoka Tshs 50/Lakini pia Kahawa imepaa kutoka 1,000 ya mkopo hadi kufikia Tshs 1,500/= Cash, Mwenye Masikio na asikie sasa,






...Kazi iendelee...


alluteemmanuel@gmail.com
 
Huyu Mama kama mpaka pamba iliyomshinda Msukuma mwenzetu ameiweza basi hakuna wa kumtoa madarani,

Sisi alizeti imefikia elfu 12 toka buku 5,Mwanzoni mimi sikuwa namkubali ila kwa sasa nataka rasmi 2025 Samia anayo kura yangu,




Tuendelee kumwombea,Wakulima wa Pamba full Shangwe na Samia,

Nimesema wakati wote Samia atavunja rekodi zote zilizowekwa,

Mpaka 2030 tutashuhudia mengi,

Tuombe tu Uzima,
 
BEI YA PAMBA JUU,cTOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA, SAMIA, SAMIA

Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo,Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% liicha ya awali bei hiyo kuzinduliwa kuwa Tshs 1,050/kg FY2021/22,Kwalugha rahisi kama sio Mama Samia bei ya Pamba leo ingesalia kuwa ni Tshs 1,050/kg.

Ni dhahiri hapa Mama kapindua Meza,Kasi hii ya Rais Samia Watoto wa Mjini wanaiita "Utajua Hujui" kwa muda huu mfupi wa Mama Samia bei ya Mbaazi, Kawaha, Alizeti, Korosho,Chai zote ziko juu na malipo yote yanafanyika mkono kwa mkono tena by " Cash money" Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo,Yaani " Masikini anamkopesha Tajiri " ( this could only happen in Tanzania) huwezi kukuta utaratibu huu popote duniani ila sasa "Mama hataki dhuluma, tumwombee"

Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" Tangu Miaka ya 2000 Chama cha UDP cha Mzee John Cheyo na baadae Chadema kwa agenda ya "Bei ya Pamba" kwa kutumia slogani yao ya " NO CASH NO COTTON " yaani "HUNA HELA HUNA PAMBA" wamekuwa wakiihenyesha CCM katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " Mzee John Cheyo alifanikiwa kuitoa Pamba toka Tshs 300 hadi Tshs 800 baadae Rais Jakaya Mrisho Kikwete akaipaisha mpaka kufikia wastani wa Tshs 1,420 FY2005|06-2015|16.Baada ya hapo bei ya Pamba imekuwa ikishuka kutoka Tshs 1,420 ya JK, to1,000 then 1,100 kisha 810 FY2020/21,Hi ni sawa na kusema,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,

Wakati Mzee Jakaya anaondoka madarakani 2014|15 bei ya kuuza pamba nje ilikuwa Tshs 2,165/kg au US$ 1,038/Tani huku Mkulima akiuza kwa Tshs 1,420/kg,Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba walipata faida ya Tshs 735/kg ya Pamba walioinunua,Lakini FY 2017|18 bei ya kuuza Pamba nje ilifikia US$ 1,371/Tani au Tshs 3,099,629/tani sawa na Tshs 3,010/kg huku Mkulima huyuhuyu akiuza Pamba kwa Tshs 1,100/kg, yaani katika kila "Kilo moja" ya Pamba walanguzi|Wanunuzi walipata faida ya Tshs 2,000/kg ya Pamba watakayouza nje.

Hii ni sawa na kusema Mnunuzi|Mlanguzi wa pamba FY2014|15 alipata faida ya Tshs 735/Kg kwa kununua Pamba kwa Tshs 1,420/kg toka kwa mkulima,Na Mnunuzi huyo wa Pamba FY 2017|18 alipata faida ya Tshs 2,000/kg tena kwa Pamba aliyoichukua kwa mkopo kwa bei ya Tshs 1,100/kg baada ya kuiza nje kwa Tshs 3,010/kg.Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Uchaguzi 2025 Case closed.
Hiyo bei bado iko chini sana, inatakiwa kuwa 4,000 au zaidi, kilo moja ya pamba utoa mashati 3-4 kila shati tshs 25,000 au zaidi. Viwepo viwanda vya kutengeneza nguo
 
Hiyo bei bado iko chini sana, inatakiwa kuwa 4,000 au zaidi, kilo moja ya pamba utoa mashati 3-4 kila shati tshs 25,000 au zaidi. Viwepo viwanda vya kutengeneza nguo
Hivi Nike au Adidas inuzwa bei ile kubwa sababu ya pamba iliyotumika au Branding ?

Viwanda vya nguo havipo ? Wangapi watavaa hizo nguo wakati kuna mitumba au kuna nguo kutoka nje quality nzuri zaidi na bei ya chini...

Hio Kilo Moja inatoa Mashati 3 - 4; ila baada ya processing, labour costs, marketing na wholesaler kumuuzia retailer n.k. gharama ya hilo shati inakuwa ngapi ? Yaani elfu 25 hiyo yote ni profit ?

Mwisho wa siku bei inaendana na Soko la Dunia lipo vipi, demand ya wakati huo n.k. sio malighafi inatoa bidhaa ngapi au za bei gani...
 
NAPE NA NDUGU ZAKO MSIACHE KUMSHUKURU MUNGU KWAAJILI YA MAMA SAMIA | MBAAZI IMEPAA TOKA TZS 50 FY2017|2020-TZS 1,600 FY2021|22 KWA KILO,


Na. Emmanuel Allute Jr,
____________________________


Bei ya mbaazi Tanzania chini ya Rais Samia imeongezeka karibu ( X3200 ) kutoka Shilingi Hamsini za Kitanzania hadi kufikia Tshs 1,600 mwaka huu,Mtakumbuka ni trh 19|3|2021 ndio siku ambayo Mama Samia alikabidhiwa nchi hii kama Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT wa awamu 6,huku bei ya mbaazi ikiwa ni chini ya Tshs 200|50.Kwalugha rahisi Fuso la Tani 7 lilijazwa mbaazi za watoto wa masikini kwa Tshs 350k Tu,Leo baada ya Rais Samia Fuso hilohilo linajazwa Mbaazi hizohizo kwa Tshs 11.2M,Mama Samia ameiongeza bei hii kwa zaidi ya 3,200%,Ukifungua hizo link utawasikia wakulima hao wakilalama,Mbaazi kutoka kuwa zao la Kibiashara hadi kuwa Chakula cha Ng'ombe na Nguruwe huku baadhi yao wakizisusa mbaazi hizo Shambani bila ya kuzivuna,Inaumiza,


Nape Nauye|Zitto Kabwe kwenye bunge la 10 ndio vijana miongoni Mwawabunge wachache waliopaza sauti zao juu ya mporomoko mkali wa bei ya mbaazi Tanzania,Wakati flani Nape akishauriwa na Naibu Waziri wa kilimo wa wakati huo kama soko hakuna ni bora kuwahimiza Wapigakura wake Wale Mbaazi kwa wingi kwakuwa mbaazi zina Protini nyingi, majibu yaliyoonesha kama ni kejeli mbele ya Mhe Nape Mbunge wa Mtama na kwawalima mbaazi wote nchini,Ujio wa Rais Samia umeshusha neema|faraja tena na tena kwa wakulima|Wasambazaji na Wauzaji wa Mbaazi wa nje na ndani ya Tanzania,Kwenye hili Rais Samia anastahili pongezi toka kwa Watanzania wote na hasahasa Wale walioambiwa Wale mbaazi ili wanenepe badala ya kupata Pesa ambayo leo Wanaifurahia,

Mtakumbuka,Mwaka wa fedha 2015/16 bei ya Tani ya Mbaazi ilikuwa US$ 715.11,Tanzania tulijipatia kiasi cha US$ 113,760 ikiwa ni sawa fedha ya kuuza Mbaazi nje jumla ya Tani 160 tu ,Dollar hizi ni sawa na Tshs 264M,Gafla Mauzo hayo yaliporomoka mpaka kufikia US$ 5,112 sawa na Tshs 11.3M Tu,FY2018|19|20 ambazo ni sawa na mauzo ya Tani 5 tu za Mbaazi,Mapato haya ni sawa na anguko la 95.7% nadhani hii haijawahi kutokea popote pale dunia wakati huu bei ikiwa ni US$ 0.023 kutoka US$ 1.14 FY 2015|16|17.Bila shaka haya ndio yaliwaliza wakati wote akina Nape pale Bungeni kwenye bunge la 10.Leo Mama amepandisha bei ya Mbaazi mpaka kufikia US$ 0.73 kutoka US$ 0.023 ikiwa ni sawa Tshs 1,600 kutoka Tshs 50/Lakini pia Kahawa imepaa kutoka 1,000 ya mkopo hadi kufikia Tshs 1,500/= Cash, Mwenye Masikio na asikie sasa,






...Kazi iendelee...


alluteemmanuel@gmail.com



HAKI HUINUA TAIFA,

Niliwahi mwambia mtu mmoja kuwa,

Kama huyu mama amechagua kusimama na haki basi hii nchi itapata kufunguliwa muda si mrefu,

Sasa kila zao la biashara bei iko Juu,

1. KAHAWA IKO JUU SANA,

2.ALIZETI IKO JUU SANA

3. MBAAZI IKO JUU SANA,

4. PAMBA IKO JUU SANA,

5. MAUA YAKO JUU SANA,

NI JUU, JUU, JUU TU
 
Hivi Nike au Adidas inuzwa bei ile kubwa sababu ya pamba iliyotumika au Branding ?

Viwanda vya nguo havipo ? Wangapi watavaa hizo nguo wakati kuna mitumba au kuna nguo kutoka nje quality nzuri zaidi na bei ya chini...

Hio Kilo Moja inatoa Mashati 3 - 4; ila baada ya processing, labour costs, marketing na wholesaler kumuuzia retailer n.k. gharama ya hilo shati inakuwa ngapi ? Yaani elfu 25 hiyo yote ni profit ?

Mwisho wa siku bei inaendana na Soko la Dunia lipo vipi, demand ya wakati huo n.k. sio malighafi inatoa bidhaa ngapi au za bei gani...


Kwani demand inamwogopa Samia?

Mboma hii bei haikupanda muda wote?

Mungu ameamua kumnyanyua tu huyu mama,
 
Unafahamu bei ya msimu huu imeanza na shilingi ngapi au umedandia hapo mwisho msimu unaisha wanunuzi wanaipigania !!?? Unajua mfumo wa ununuzi na malipo kwa misimu yote uliyoitaja !!?? Umezisoma waraka simamizi za zao hili kutoka bodi ya pamba na kutoka tume ya ushirika!!?? .... Bei ya pamba imeanza na Tsh 1050/ ...... Kwa taarifa yako.
 
NAPE NA NDUGU ZAKO MSIACHE KUMSHUKURU MUNGU KWAAJILI YA MAMA SAMIA | MBAAZI IMEPAA TOKA TZS 50 FY2017|2020-TZS 1,600 FY2021|22 KWA KILO,


Na. Emmanuel Allute Jr,
____________________________


Bei ya mbaazi Tanzania chini ya Rais Samia imeongezeka karibu ( X3200 ) kutoka Shilingi Hamsini za Kitanzania hadi kufikia Tshs 1,600 mwaka huu,Mtakumbuka ni trh 19|3|2021 ndio siku ambayo Mama Samia alikabidhiwa nchi hii kama Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT wa awamu 6,huku bei ya mbaazi ikiwa ni chini ya Tshs 200|50.Kwalugha rahisi Fuso la Tani 7 lilijazwa mbaazi za watoto wa masikini kwa Tshs 350k Tu,Leo baada ya Rais Samia Fuso hilohilo linajazwa Mbaazi hizohizo kwa Tshs 11.2M,Mama Samia ameiongeza bei hii kwa zaidi ya 3,200%,Ukifungua hizo link utawasikia wakulima hao wakilalama,Mbaazi kutoka kuwa zao la Kibiashara hadi kuwa Chakula cha Ng'ombe na Nguruwe huku baadhi yao wakizisusa mbaazi hizo Shambani bila ya kuzivuna,Inaumiza,


Nape Nauye|Zitto Kabwe kwenye bunge la 10 ndio vijana miongoni Mwawabunge wachache waliopaza sauti zao juu ya mporomoko mkali wa bei ya mbaazi Tanzania,Wakati flani Nape akishauriwa na Naibu Waziri wa kilimo wa wakati huo kama soko hakuna ni bora kuwahimiza Wapigakura wake Wale Mbaazi kwa wingi kwakuwa mbaazi zina Protini nyingi, majibu yaliyoonesha kama ni kejeli mbele ya Mhe Nape Mbunge wa Mtama na kwawalima mbaazi wote nchini,Ujio wa Rais Samia umeshusha neema|faraja tena na tena kwa wakulima|Wasambazaji na Wauzaji wa Mbaazi wa nje na ndani ya Tanzania,Kwenye hili Rais Samia anastahili pongezi toka kwa Watanzania wote na hasahasa Wale walioambiwa Wale mbaazi ili wanenepe badala ya kupata Pesa ambayo leo Wanaifurahia,

Mtakumbuka,Mwaka wa fedha 2015/16 bei ya Tani ya Mbaazi ilikuwa US$ 715.11,Tanzania tulijipatia kiasi cha US$ 113,760 ikiwa ni sawa fedha ya kuuza Mbaazi nje jumla ya Tani 160 tu ,Dollar hizi ni sawa na Tshs 264M,Gafla Mauzo hayo yaliporomoka mpaka kufikia US$ 5,112 sawa na Tshs 11.3M Tu,FY2018|19|20 ambazo ni sawa na mauzo ya Tani 5 tu za Mbaazi,Mapato haya ni sawa na anguko la 95.7% nadhani hii haijawahi kutokea popote pale dunia wakati huu bei ikiwa ni US$ 0.023 kutoka US$ 1.14 FY 2015|16|17.Bila shaka haya ndio yaliwaliza wakati wote akina Nape pale Bungeni kwenye bunge la 10.Leo Mama amepandisha bei ya Mbaazi mpaka kufikia US$ 0.73 kutoka US$ 0.023 ikiwa ni sawa Tshs 1,600 kutoka Tshs 50/Lakini pia Kahawa imepaa kutoka 1,000 ya mkopo hadi kufikia Tshs 1,500/= Cash, Mwenye Masikio na asikie sasa,






...Kazi iendelee...


alluteemmanuel@gmail.com

Punguza kujipendekeza!

How Mama had had played a role kupandisha beiya Pamba ambazo soko na msimu ndio huamu kupanda au kushuka kwake.

Takwimu uchwara kutafuta vyeo.
Msiba wa awamu hii jiunge na Stivu nyerere tu tujue moja.

Huu muda ungeutumia kutafuta walau ka digirii au Masters ingekufaa sana kwenye kupiga mapambio.
 
BEI YA PAMBA JUU,cTOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA, SAMIA, SAMIA

Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo,Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% liicha ya awali bei hiyo kuzinduliwa kuwa Tshs 1,050/kg FY2021/22,Kwalugha rahisi kama sio Mama Samia bei ya Pamba leo ingesalia kuwa ni Tshs 1,050/kg.

Ni dhahiri hapa Mama kapindua Meza,Kasi hii ya Rais Samia Watoto wa Mjini wanaiita "Utajua Hujui" kwa muda huu mfupi wa Mama Samia bei ya Mbaazi, Kawaha, Alizeti, Korosho,Chai zote ziko juu na malipo yote yanafanyika mkono kwa mkono tena by " Cash money" Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo,Yaani " Masikini anamkopesha Tajiri " ( this could only happen in Tanzania) huwezi kukuta utaratibu huu popote duniani ila sasa "Mama hataki dhuluma, tumwombee"

Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" Tangu Miaka ya 2000 Chama cha UDP cha Mzee John Cheyo na baadae Chadema kwa agenda ya "Bei ya Pamba" kwa kutumia slogani yao ya " NO CASH NO COTTON " yaani "HUNA HELA HUNA PAMBA" wamekuwa wakiihenyesha CCM katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " Mzee John Cheyo alifanikiwa kuitoa Pamba toka Tshs 300 hadi Tshs 800 baadae Rais Jakaya Mrisho Kikwete akaipaisha mpaka kufikia wastani wa Tshs 1,420 FY2005|06-2015|16.Baada ya hapo bei ya Pamba imekuwa ikishuka kutoka Tshs 1,420 ya JK, to1,000 then 1,100 kisha 810 FY2020/21,Hi ni sawa na kusema,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,

Wakati Mzee Jakaya anaondoka madarakani 2014|15 bei ya kuuza pamba nje ilikuwa Tshs 2,165/kg au US$ 1,038/Tani huku Mkulima akiuza kwa Tshs 1,420/kg,Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba walipata faida ya Tshs 735/kg ya Pamba walioinunua,Lakini FY 2017|18 bei ya kuuza Pamba nje ilifikia US$ 1,371/Tani au Tshs 3,099,629/tani sawa na Tshs 3,010/kg huku Mkulima huyuhuyu akiuza Pamba kwa Tshs 1,100/kg, yaani katika kila "Kilo moja" ya Pamba walanguzi|Wanunuzi walipata faida ya Tshs 2,000/kg ya Pamba watakayouza nje.

Hii ni sawa na kusema Mnunuzi|Mlanguzi wa pamba FY2014|15 alipata faida ya Tshs 735/Kg kwa kununua Pamba kwa Tshs 1,420/kg toka kwa mkulima,Na Mnunuzi huyo wa Pamba FY 2017|18 alipata faida ya Tshs 2,000/kg tena kwa Pamba aliyoichukua kwa mkopo kwa bei ya Tshs 1,100/kg baada ya kuiza nje kwa Tshs 3,010/kg.Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Uchaguzi 2025 Case closed.
Acha kuongopea watu masee.., kaa utafakali tena kwa kina saaana, na pia ujiulize kwa kina saaana kuwa ni nin kimesababisha Pamba inunuliwe kwa bei kubwa dakika za lala salama.., wew unakuja na blabla za hapa na pale wakati hujuwi hata pamba inalimwaje, na hizo bei zimeanza lini.
 
Punguza kujipendekeza!

How Mama had had played a role kupandisha beiya Pamba ambazo soko na msimu ndio huamu kupanda au kushuka kwake.

Takwimu uchwara kutafuta vyeo.
Msiba wa awamu hii jiunge na Stivu nyerere tu tujue moja.

Huu muda ungeutumia kutafuta walau ka digirii au Masters ingekufaa sana kwenye kupiga mapambio.


Kwani wewe kipi kinakuumiza?

Jamaa kuja na data kumfafanua Mama au Bei ya Pamba kupanda,

Wewe sema, Je bei ya Pamba sio 1720-1800 alizosema huyu bwana?

Mimi napenda sana mtu anayekuja na data sio maneno maneno tu,

Mimi sio CCM ila Samia ananipa raha sana,

Tangu nimeanza kufuatilia maandishi ya huyu nimempenda Samia gafla,
 
Acha kuongopea watu masee.., kaa utafakali tena kwa kina saaana, na pia ujiulize kwa kina saaana kuwa ni nin kimesababisha Pamba inunuliwe kwa bei kubwa dakika za lala salama.., wew unakuja na blabla za hapa na pale wakati hujuwi hata pamba inalimwaje, na hizo bei zimeanza lini.
Kumbe kweli pamba ni Tsh 1,800 kwa kilo,

Huyu mama anatisha hata Magufuli hakufanya hivi kuwaongeza ndg zake bei ya Pamba,
 
BEI YA PAMBA JUU,cTOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA, SAMIA, SAMIA

Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo,Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% liicha ya awali bei hiyo kuzinduliwa kuwa Tshs 1,050/kg FY2021/22,Kwalugha rahisi kama sio Mama Samia bei ya Pamba leo ingesalia kuwa ni Tshs 1,050/kg.

Ni dhahiri hapa Mama kapindua Meza,Kasi hii ya Rais Samia Watoto wa Mjini wanaiita "Utajua Hujui" kwa muda huu mfupi wa Mama Samia bei ya Mbaazi, Kawaha, Alizeti, Korosho,Chai zote ziko juu na malipo yote yanafanyika mkono kwa mkono tena by " Cash money" Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo,Yaani " Masikini anamkopesha Tajiri " ( this could only happen in Tanzania) huwezi kukuta utaratibu huu popote duniani ila sasa "Mama hataki dhuluma, tumwombee"

Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" Tangu Miaka ya 2000 Chama cha UDP cha Mzee John Cheyo na baadae Chadema kwa agenda ya "Bei ya Pamba" kwa kutumia slogani yao ya " NO CASH NO COTTON " yaani "HUNA HELA HUNA PAMBA" wamekuwa wakiihenyesha CCM katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " Mzee John Cheyo alifanikiwa kuitoa Pamba toka Tshs 300 hadi Tshs 800 baadae Rais Jakaya Mrisho Kikwete akaipaisha mpaka kufikia wastani wa Tshs 1,420 FY2005|06-2015|16.Baada ya hapo bei ya Pamba imekuwa ikishuka kutoka Tshs 1,420 ya JK, to1,000 then 1,100 kisha 810 FY2020/21,Hi ni sawa na kusema,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,

Wakati Mzee Jakaya anaondoka madarakani 2014|15 bei ya kuuza pamba nje ilikuwa Tshs 2,165/kg au US$ 1,038/Tani huku Mkulima akiuza kwa Tshs 1,420/kg,Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba walipata faida ya Tshs 735/kg ya Pamba walioinunua,Lakini FY 2017|18 bei ya kuuza Pamba nje ilifikia US$ 1,371/Tani au Tshs 3,099,629/tani sawa na Tshs 3,010/kg huku Mkulima huyuhuyu akiuza Pamba kwa Tshs 1,100/kg, yaani katika kila "Kilo moja" ya Pamba walanguzi|Wanunuzi walipata faida ya Tshs 2,000/kg ya Pamba watakayouza nje.

Hii ni sawa na kusema Mnunuzi|Mlanguzi wa pamba FY2014|15 alipata faida ya Tshs 735/Kg kwa kununua Pamba kwa Tshs 1,420/kg toka kwa mkulima,Na Mnunuzi huyo wa Pamba FY 2017|18 alipata faida ya Tshs 2,000/kg tena kwa Pamba aliyoichukua kwa mkopo kwa bei ya Tshs 1,100/kg baada ya kuiza nje kwa Tshs 3,010/kg.Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Uchaguzi 2025 Case closed.
Mama kwenye uchumi yuko poa sana,hayo ya siasa uchwara watajuana na Mbowe.

Hata kwenye ufuta bei zilikuwa nzuri sana
 
Back
Top Bottom