Jamani tuweni wastaarabu. Kama huna Jibu la kusaidia unakaa kimya. Mtu kauliza na ameeleweka wengine mnaandika utani, na kejeli.....Mimi mwaya sijui lolote
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mkuu HAMY-D ulichouliza ni sahihi nakupa jibu rahisi Rejea Maana halisi ya CHADEMA hapo Mwanzo wakati kinaanzishwa kilikua kinaitwaje na madhumuni yake yalikua nn kabla ya kupumbaza wananchi wenye mawazo finyu na kukiita chama cha demokrasia na maendeleo? Pili Ponda angetoka kaskzn...
Unajua maana ya dhana ya police jamii, ulinzi shirikishi au umekurupuka kuandika ili ujipatie sifa? Ila nisikulaumu maana uelewa unatofautiana
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mimi nipo TANGA karibu na mmiliki wa Rahaleo. Habari hizo ni uzushi mtupu pia kuna askari wa usalana barabarani wa pale wami nimesiliana nae amenithibitishia kua hakuna ajali kama hiyo.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mhhhh. Tuwe wazalendo na nchi yetu. Tusishabikie mambo mengine. Bunduki Kuwa mukononi mwa majambazi ni hatari kuliko mnavyodhan
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kumbe nawewe umeyaona maneno yao brother. Ngoja tuyaone na kama yangekua mkuki yangeua wengi. Haya 2015 haiko mbali
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Ila nimeamini nchi yetu ina watu wengi wasio na uelewa. Ngoja nijiendee Shamba mie kutafutia watoto ridhiki. Nimechoka kusubiri chama fulani kishike madaraka ya nchi ili maisha yawe bora kwakila mtanzania
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Itakua busara ili tuwe na uhakika na mlipuaji wa bomu hiyo video ya polisi aliyelipua iwekwe wazi ili kila mtu aelewe isiwe porojo tu. Naamini Rais wetu iwapo ataiona hiyo hawezi kuvumilia lazima hatua zitachukuliwa. Natoa ombi kwa mbowe na cdm kwa ujumla pelekeni kopi ya mkanda wenu na original...
IPO siku mtayashika Matumbo maana halitakua tupo la kuharisha wala la kuzaa na maneno yenu mtayakana baada ya kuona hicho mnachokiona sicho kimekua ndicho. Hilo ni jiwe limetupwa kwenye giza hapo wapo wa lukuvi na wa obwao.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.