Debate kati ya Zitto na Lema.

Debate kati ya Zitto na Lema.

Lema hana jipya anatafuta umaarufu kwa nguvu kwa kutumiwa na viongozi waroho wa madaraka ambao lengo lao si kujenga chama ni kujirundukia mali,ila Zitto ni mwanademokrsia wa kweli anayetetea raslimali za nchi zisiporwe na wanaomtumia Lema kuhadaa Watz.
Umaarufu upi ambao lema aaweza kuutafuta leo....
 
Akili kama ya kuku..

Siku za karibuni pamekuwa na mvutano kati ya waanasiasa machachari Godbless Lema na Zitto Kabwe ambayo kwa kiasi kikubwa imeanzia kwenye mitandao ya kijamii na ambapo issue ya Posho ilikuwa ni immediate factor ya tofauti baina ya Zitto na Lema. However Lema na kundi lake wamekuwa wakimpaint Zitto kama "snitch" ndani ya chadema. Na kundi la Zitto limekuwa likirespond toward the so called "trivial allegations" kuwa Lema hana hoja anatumika tu kumchafua zitto

Jana pamekuwa na malalamiko kuwa Zitto kabwe kapewa enough air time na Cloudsfm kuongea so pamekosekana balanced story na pamekuwa na hoja Za upande mmoja.

Ombi letu tunaomba debate ya hawa vijana wawili, ikiwezekana tuombe kipindi "cha tuongee asubuhi pale star tv" ama hapa hapa JF. Pembeni akae GODBLESS Lema na pembeni Zitto Kabwe. Tuamue uwezo wa hawa vijana kwa hoja na sio siasa za kusaidiana na kuchafuana. Jana Zitto kasema yeye ndie kamfundisha Lema siasa, na tuone kati ya mwalimu na mwanafunzi.

Mods naomba kama itawezekana muwasiliane na hawa vijana machachari debate ikifanyikia hapa JF litakuwa ni jambo jema zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Lumumba wanajitahidi kweli kuwagombanisha LEMA na ZITTO lakini naona wanachemsha sijui watatafuta mbinu gani sasa
 
Mmmh! Wapiganapo mafahali wawili ziumiazo nyasi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Tujiulize tu kati ya hao nani mwenye hoja zenye mashiko bungeni!
 
Wewe Sixgates hapa sio CCM,nenda kawapambanishe viongozi husika juu wizi wa nyara za serikali-tembo 61 wanaangamia kila siku....! Washauri CCM wafanye huo mdahalo na waziri kivuli wa CDM kwa faida ya wanainchi,kama kweli unataka mabadiliko ya fikra na uwajibikaji.
Wewe ulishafukuzwa CDM, inakuhusu nini siasa za CDM hata utake kuwa na mdahalo wa posho za wabunge.....??? Umeliona hilo ni la maana sana kuliko hao tembo 61 wanaopote a kila siku....???? THINK BIG p/se...!!!

Akampambanishe Kapuya na Mwigulu, nani Mkali kiunoni?
 
Hii nchi kwisha kazi yake, nguvu kazi ya taifa kutumia muda mwingi kujadili majungu wakati kuna mambo ya muhimu kwa Taifa, kuna siku hata kama ni baada ya miaka 30 tutakuja kukumbuka sana huu muda unao potea kwa kupiga majungu.

Mkuu nakubaliana na wewe ktk hili.
 
Back
Top Bottom