Real?....Du sijui hizi imani potofu tutazipoteza vipi watz?
Mwali Tanga unapasikia au ? haya mambo yenu ya Pwani ukiingiliwa koloni lako unammaliza yeyote
Huyo Mwanaume aseme ukweli alikuwa na nhusiano na mwanamke gani? maana hata km ni Bibi kizee huwa hakiachiki
Namuonea huruma Manka Levina Mmasi MUNGU AMUWEKE MAHALI PEMA PEPONI na awape ujasiri Familia yake kwa kumpoteza Bint AMEN
Tuondolee upuuz wako hapa, ni ushirikina tu ndiyo unaokusumbua!Ujinga huu hata shetani ana mipango....
Huyo labda ni Mungu wako peke yako ambaye anaweza kumchukuwa mama na kichanga siku moja,
Doctor amethibitisha alikua na malaria,Unahitaji proof gani zaidi ya hiyo ? kwa mtu kama wewe kila kifo lazima utasema kuna mkono wa mtu,
Du sijui hizi imani potofu tutazipoteza vipi watz?
Ujinga huu hata shetani ana mipango....
Huyo labda ni Mungu wako peke yako ambaye anaweza kumchukuwa mama na kichanga siku moja, Mungu wangu mimi anawachukia sana binadamu wazembe na wavivu wa kufikiri kama wewe.
Mm nilifikiri ni Mwali mtoto wa kiTanga ndiye atakayenielezea au kunijibu maana ya hayo MAZINGARA ya mchumba aliyekuwa akiishi Lindi na kuja kuolewa ghafla Tanga (Kunani) kumbe ni Mngoni mputa wakati sisi tunaamini hawa watu wa huko Ruv**** wewe wape pesa watafikisha lakini sio mwanamke, basi kalaghabaho tusiwaingilie Wafiwa na bdo msiba mbichiDoctor amethibitisha alikua na malaria,Unahitaji proof gani zaidi ya hiyo ? kwa mtu kama wewe kila kifo lazima utasema kuna mkono wa mtu,