Recent content by Gratius Andrea

  1. Gratius Andrea

    Mwanadamu tambua, kila nafsi itaonja mauti!!

    Rafiki usemalo ni kweli, tupo katika kipindi kigumu sana kwa matukio yanayoendelea duniani na Tz yetu ikiwemo
  2. Gratius Andrea

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Baba yetu wa mbinguni amponye mja wake na mtetezi wetu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Gratius Andrea

    Special thread: Kwa waombaji wote wa mikopo 2017/2018 (HESLB)

    wapendwa naomba msaada toka jana nimeanza ku-apply mkono kwa kujaza index number kisha nika-comfirm na kulipia lakini ajabu hadi muda huu sioni vipengele vinavyofuata hivyo nashindwa na kukosa hatima. nisaidieni
  4. Gratius Andrea

    Arusha: Lema 'aendelea kuongoza' akiwa mahabusu

    Mungu aendelee kumwezesha kiafya
  5. Gratius Andrea

    Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    ahsante kwa shukrani, tunaambana nawe kwa Maombi na Mungu atakupigania hakuna jambo gumu kwake
  6. Gratius Andrea

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    kazi nzuri, pamoja kwa maendeleo ya taifa letu
Back
Top Bottom