Recent content by GRAMAA

  1. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa: Makamu wa Rais ana nafasi gani katika nchi?

    Haya hiki ulichoandika maana yake ndiyo unapambana upate katiba mpya
  2. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Zungu: Mnaosema Bunge halina hamasa, mnataka itoke wapi?

    Samahani wakuu ni nje ya mada. Hali ipoje uko sabasaba maana ninataka kuja na familia yangu kwenye maonesho ya sabasaba.
  3. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Ni dhahiri Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yamevurugika

    Hata sijui itakuwaje hiyo siku ya sabasaba
  4. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wataifilisi hii Serikali

    Hii comment ina mantiki,logic,ukweli,uhalisia,mambo yalivyo na kilakitu. Sasa swali ni kwamba wanafanya hivyo kwa lengo gani?
  5. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Bing Bang Theory is real. Ask me anything about it here…

    Eti ikapasuka pwaaaaaaa. Hahahaaa
  6. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Polepole anafahamu mengi ndani ya CCM tumsikilize kwa makini

    Kumbe hesabu zinasoma kama ifuatavyo:- NIDA+TUME+CCM=MATOKEO YA UCHAGUZI. Duuuuh si mchezo
  7. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Kama huwezi kushindana nao ni heri kuungana nao

    Sawa mkuu ngoja nitafute kilinge cha chakula nile ili nisikose dawa.
  8. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Kama huwezi kushindana nao ni heri kuungana nao

    Nipige nisipige nimeshapiga jana? Haya mambo mbona yanavuruga mkuu.
  9. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Kama huwezi kushindana nao ni heri kuungana nao

    Kama ni hivyo hapo sawa.
  10. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Kama huwezi kushindana nao ni heri kuungana nao

    Yaani Polepole anamaanisha mimi mpaka muda huu nimeshapiga kura au sijamuelewa?
  11. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Leo ni leo asemaye kesho muongo. Polepole kuongea na Watanzania saa mbili kamili usiku! Usikose!

    Mkuu sio vizuri kujiita zuzu. Ni kitu kibaya sana kujinenea vibaya kwanj kinywa kinaumba mkuu.
  12. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Serikali mpeni ulinzi wa kutosha Nassoro Katuga, sahivi amekimbia hadi social media zake

    Kamwe basha hasusiwi makalio wakuu. Haya mimi nipo hapa naangalia tu wananchi walivyoamua kususia vitu ambavyo havipaswi kususiwa.
Back
Top Bottom