Recent content by GRAMAA

  1. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Arusha: Askari Polisi apigwa kama Mbwa koko

    Kwani tume au hotuba ya chande inasema haya mambo yanasababishwa na nini?
  2. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Daktari aliyempiga Polisi usalama barabarani hajulikani alipo

    Swali litabaki ni lile lile siku zote JE, TUMEFIKAJE HAPA? Maana haya ni matokeo tu. KUNA CHANZO CHAKE.
  3. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Duuuh nimetoka patupu. Nilichoambulia ni hilo neno la " Ipyana,"
  4. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Isije kuwa Rose Ndauka dooooh
  5. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Ngoja nikuambie ukweli japo utanimaindi

    Kijana hauna tatizo wala changamoto za nguvu za kiume shida ni mwanamke uliyenaye ni kimeo sana kwako. Huyo mwanamke uliyenaye anakulinganisha na wanaume waliowahi kumgegeda. Ndiyo maana unataabika sana na dawa za kisuna hahaaaaaaaaa. Lakini ungekuwa na mwanamke kama wakwangu ambaye nilimkuta...
  6. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa: Makamu wa Rais ana nafasi gani katika nchi?

    Haya hiki ulichoandika maana yake ndiyo unapambana upate katiba mpya
  7. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Zungu: Mnaosema Bunge halina hamasa, mnataka itoke wapi?

    Samahani wakuu ni nje ya mada. Hali ipoje uko sabasaba maana ninataka kuja na familia yangu kwenye maonesho ya sabasaba.
  8. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Ni dhahiri Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yamevurugika

    Hata sijui itakuwaje hiyo siku ya sabasaba
  9. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wataifilisi hii Serikali

    Hii comment ina mantiki,logic,ukweli,uhalisia,mambo yalivyo na kilakitu. Sasa swali ni kwamba wanafanya hivyo kwa lengo gani?
  10. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Bing Bang Theory is real. Ask me anything about it here…

    Eti ikapasuka pwaaaaaaa. Hahahaaa
  11. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Polepole anafahamu mengi ndani ya CCM tumsikilize kwa makini

    Kumbe hesabu zinasoma kama ifuatavyo:- NIDA+TUME+CCM=MATOKEO YA UCHAGUZI. Duuuuh si mchezo
  12. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Kama huwezi kushindana nao ni heri kuungana nao

    Sawa mkuu ngoja nitafute kilinge cha chakula nile ili nisikose dawa.
  13. GRAMAA

    JamiiForums Tanzania Kama huwezi kushindana nao ni heri kuungana nao

    Nipige nisipige nimeshapiga jana? Haya mambo mbona yanavuruga mkuu.
Back
Top Bottom