Huku ninakokaa, kulikuwa na mkaka mmoja mchakarikaji alikuwa anapika chips; hivi karibuni kabadilisha banda la chips kuwa kanisa. Nafikiri akifanya miracle chache atanunua kiwanja cha kujenga kanisa kama la Kakobe.
Wee cheka tu, mwenzio anakamata shekeli
Wana respect privacy ya mama yao, she has a right to be happy; she can date anyone as long she is happy. And now she has a right to be miserable as long as her misery does not affect others. She made her on mess......
Ila inasikitisha sana
Dark City
Jana mwanangu ananipigia, anasema mama nimepata GPA ya 5 nikasema ama kweli ni BRN hadi form two majibu yanakuwa in form of GPA
Mzima lakini Babu DC
Wewe kweli ni mwenyeji,, barabara ipo na inapitika siku 365/6, nilikuwa na kigari mfano wa vits na kalikuwa kanapanda tu bila shida.
Kiwanja ninacho pia, maeneo ya juu ya Kigoma secondary, ni Low density pia kiko mlimani. ukinipa 10 mil nakuachia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.