Mhh! Sasa hiyo 'saikolojiko tocha' mtu unakua nayo mwezi mzima wanaifikiria? Mi naona heri upime na kwengine upate uhakika maana huo mwezi wa kusubiria utakua mgumu kwako sababu kucha utakuwa unawaza
Unataka kumwambia kwajili imsaidie nini? Utaonekana kituko aisee. Men dont tell on each other. It is a code of friendship plus haitakusaidia wewe lolote ukishasema. Then what?
Labda wataachana afu mshikaji unampoteza sababu atajua wewe ndio ulimuharibia. Au labda dada atakusikiza afu amwambie...
Pole kwa yote.
Nahisi kinachoongea hapo ni hisia ulizonazo kwasasa ambazo zimechanganyika na hasira, disappointment na mengineyo. Umechagua vyema sana ukisoma utapeleka msisitizo masomoni na kusahau kirahisi zaidi. All the best
Mi naona umeshagundua hilo ni tatizo kwahiyo una uwezo wa kuamua kulitatua. Unaweza kuanza kubadilisha utegemezi wako juu yake. Ujione upo single ufanye mambo yako peke yako. Huenda pengine kwa kukusaidia kifedha umekua mtumwa wake. Socialize na marafiki wengine maana kwa kujumuika na wale wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.