Msaada! Ndoto za x zinamsumbua

Msaada! Ndoto za x zinamsumbua

Miezi nane bado hajachelewa mwabie rafiki aamke kabla hawajazaa kiumbe huko ndotoni na huyo jamaa.

Mwambie rafiki aache kujitesa coz ndoto za aina hii zitamfanya awe mnyonge na kutojiamini tena. Pia asipokua makini zitamrudisha nyuma sana. Sisi tunasonga mbele yeye atakua anapiga makitym kama tulivyokua JKT

Hizi ni ndoto za watoto wanaobalehe au kuvunja ungo ambao hawawezi kujikontrol wala hawajui jema na baya.

Mwambie kuna njia mbili

1.Moja ya kumtafuta Mungu kwa hali yoyote ile akiwa mgonjwa au mwenye afya,mwenye furaha au huzuni,amependeza au hajapendeza,akiwa na Imani kubwa au ndogo,muislam au mkristo

2.Ni kumtumikia Ibilisi a.k.a shetani(satan) na kazi zake zote

Mwambie achague moja kati ya hizi mbili akiwa kama mtu mzima mwenye akili zake timamu

Kila lakheri
 
Atakuwa amemtafunia mitishamba mwambie imani inahusika hapo. Amrudie Mungu, sala nyingi na matendo mema.
 
Kuna rafiki yangu aliachana na mume wake yapata miezi nane sasa tangu watengane,lakini rafiki yangu huyu ni wa kike anasumbuliwa sana na ndoto yakuwa anajiwa na mr wake huyo tena akiwa anashiriki tendo la ndoa je afanyeje ili hii ndoto iache kwani kila mara inamjia.
Anamuwaza sana hakuna lingine, halafu inaelekea rafiki yako ndiye mwenye makosa au alichangia kwa kiasi kikubwa katika utengano wao.

Ndio maana hamtoki mawazoni mwake, wenyewe wanasema huwezi kujua umuhimu au thamani ya ulichonacho hadi kikutoke
 
Anamuwaza sana hakuna lingine, halafu inaelekea rafiki yako ndiye mwenye makosa au alichangia kwa kiasi kikubwa katika utengano wao.

Ndio maana hamtoki mawazoni mwake, wenyewe wanasema huwezi kujua umuhimu au thamani ya ulichonacho hadi kikutoke

yeyea bado alikuwa anampende mr wake lakini tatizo la mr wake ni kuwa anatawaliwa sana na wazazi na ndugu kimawazo (kashikwa masikio kisemo cha wenyewe) hivyo rafiki akaomba apumzike na mateso hayo kwanza lkn mr wake amekuwa si wa salamu wala nn mpaka yeye amuanze.
 
Miezi nane bado hajachelewa mwabie rafiki aamke kabla hawajazaa kiumbe huko ndotoni na huyo jamaa.

Mwambie rafiki aache kujitesa coz ndoto za aina hii zitamfanya awe mnyonge na kutojiamini tena. Pia asipokua makini zitamrudisha nyuma sana. Sisi tunasonga mbele yeye atakua anapiga makitym kama tulivyokua JKT

Hizi ni ndoto za watoto wanaobalehe au kuvunja ungo ambao hawawezi kujikontrol wala hawajui jema na baya.

Mwambie kuna njia mbili

1.Moja ya kumtafuta Mungu kwa hali yoyote ile akiwa mgonjwa au mwenye afya,mwenye furaha au huzuni,amependeza au hajapendeza,akiwa na Imani kubwa au ndogo,muislam au mkristo

2.Ni kumtumikia Ibilisi a.k.a shetani(satan) na kazi zake zote

Mwambie achague moja kati ya hizi mbili akiwa kama mtu mzima mwenye akili zake timamu

Kila lakheri

mda mwingi anafikiri kuwa mlevi
 
Mwanakijiji,
Kuna njia mbili kuu za kuifanya serikali na wananch wafaidike na na hii miradi (Kwa kuongezea tu na ile ya community development):
1. Mineral Benefication - Serikali ingepigania sana mineral benefication. Hili hata Mkapa alisisitiza sana. Sijui hiyo mikataba ina sisitiza nini. Katika migodi hii ya dhahabu imefahamika kuna copper nying sana inauzwa through agent wa barick gold Australia as mineral concentrate, na hawa wazungu wanasema hawana facilities za kuchambua Tanzania. Na wataalamu wetu feki hawa waki-Tz wanaona tu.

2. Tangu mwanzo zingewekwa clauses kwenye mikataba kuwa baada ya muda fulani Serikali husika inunue shares au wananchi/communities/ indigenious companies wanunue shares.

Kwa kuwa hatujui mikataba imeandikwa nini, hapa ni pa-gumu.

Hata huko uarabuni (nci ulizotaja)ni hawa hawa westerners ndiyo waliowekeza, lakini refineries katika nchi hizo zimeshikiliwa pamoja na aidha wenyeji au serikali au watawala, kampuni kama Aramco, Kuwaiti Oil, etc. Hawa jamaa kutokana na mapato yao hayo wameweza hata ku-control Citibank (the largest bank in the world).

Suala hapa siyo ubaya wa ubepari, ni mikataba yetu, upimbi wetu, it happens only in Africa. Usilaumu dobi, kaniki ndiyo rangi yake!!

Hii ni dalili za spiritual husband. Lishugulikieni kiroho.
 
mda mwingi anafikiri kuwa mlevi

Tafadhari mwambie rafiki awe makini kwa sababu upeo wake wa kufikiri unakaribia kikomo. Ndoto hii ni changamoto tosha sasa akiongeza ULEVI atakua hajatatua tatizo.

Mwambie rafiki aangalie maisha yake wapi katoka hadi hapo alipofika,vitu vyote alivyowahi kupitia tangu akiwa mtoto alivyoviona kwa macho yake mwenyewe,alivyosimuliwa akaamini au asivyoamini.

Ngoja niiweke hivi wakati fulani utasikia watu wanasema Jamaa alikua tajiri sana huyu miaka ya 80 na 90s sasa kafirisika lakini kuna tetesi alimtoa mzazi wake mmoja kama kafara kupata utajiri.

Pia ulipokua mdogo au mtu mzima wazazi au walezi walikua wanaleta waganga wa kienyeji nyumbani na kufanya makafara ya mbuzi,kondoo,kuku,bata n.k. Sasa jiulize hivyo vitu vimekusaidia ulipokua mtu mzima au katika maangaiko yako zaidi ya kuacha makovu tu katika maisha.Je vitu hivi viliweza kuokoa ndoa za wazazi au walezi wetu walipotengana?

Kuna hili pia ajaribu kukumbuka wanawake au wanaume wangapi aliwaona kwa macho yake au kusimuliwa waliotengana wakaingia katika ULEVI walitoka salama. Pia kama yeye alishawahi kunywa pombe siku za nyuma arudishe hiyo kumbukumbu zote kama ataweza. Akianza kunywa pombe itamlazimu asikatae mwaliko wa kwenda Poland au Urusi

Mwambie rafiki asisahau kuangalia upande mwingine wa sarafu ambao uko wako wale walioamua kumtafuta Mungu aliye hai. Hawa pia wana changamoto zao sasa azipime kama ni sawa na za upande mwingine au la

Haya matatizo yako chini ya uwezo wake,ni kama kumchenji mtoto pampers kwa wale wanaolea au kusikia mtoto anasema NANA NANA akimaanisha BANANA

Kila lakheri
 
Kuna rafiki yangu aliachana na mume wake yapata miezi nane sasa tangu watengane,lakini rafiki yangu huyu ni wa kike anasumbuliwa sana na ndoto yakuwa anajiwa na mr wake huyo tena akiwa anashiriki tendo la ndoa je afanyeje ili hii ndoto iache kwani kila mara inamjia.
Hapo ngoja hebu mwambie anitumie number zake za simu kuna dawa.....
 
Back
Top Bottom