Kwanza unachotakiwa kujua nikwamba hakuna mungu, ili uepuke issue ya utegemezi kwamba kuna kitu kitakupa msaada, haya maisha hayana Mambo ya kuamini yanamambo ya uhalisia na ndio maana hapo ulipo unajua umefilisika na sio unaamini ,,,,,kingine huyo rafiki yako sio kwamba mchungaji amemsaidia...
Sasa mdada wa kazi alikuwa wanini? Miaka sita anasota mwenyewe then miezi mitatu anapumzika we unaona wivu, cha msingi hizo issue za kudhurura kaa nae ongea nae.
Pesa mbona nikitu ambacho kipo na unaweza kukishika? Na pesa inayotumika kwa mf tz lazima iwe na sign ya gavana!!! Hao washirikina wenye pesa zao waziitaje?
Yesu ni njia yakwenda mbinguni,
Ila chakushangaza uislam ni dini ya haki na ni dini ya mwenyezi mungu,
Sasa ukitaka kuwaweza waambie hakuna mungu , wataungana kukusema weeeeeeee, ala chorus, wapigie Yesu ni Mungu, afu ondoka verse ya pili watapiga wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.