Ninachokijua mimi ni kwamba hicho Chuo ama vyuo wanaweza kuzifuata ama kukunyang'anya hizo PhD zao
Hivyo akijitokeza mtu akakipa somo hicho Chuo ama vyuo hivyo ni dhahiri watazifuata hizo PhD zao kwa jamaa
Guess what?
It does exist
and it situated about 1- 1.5 inches inside her vagina, direction upward (right below her bladder).
Many women find G-spot stimulation being somewhat more powerful than Clitoral.
Ila pia kuna
A-spot
Deep- spot and U-spot
Dah
Wakuu
Nimeshindwa niamini lipi
Mara Rais ameghaili hivyo ataongea tar 22 ambayo ni J3
Coz kwa sasa yupo Arusha
Mara Rais yupo Dar tena kuna kikao ambacho ni hot
Juu ya Pinda
Mara Rais ataongea kama alivyoahidi
Sasa wakuu plz ipi ni ipi?
Nani amewahi kwenda makumbusho ya Taifa
Opposite na Chuo cha IFM?
Kuna mawe yalitolewa na Serikali ya Marekani kwa Tz
Nani amebahatika kuyaona?
Je ulisoma na maelezo yake?
Mkuu mimi nadhani wewe ni mwenyeji wa hizo sehemu ulizozitaja
Ndiyo maana wala hata sijaguna wala kubisha!
Coz hayo ndiyo maeneo yako
Ila na mimi huku
ni mwenyeji
Na ni maeneo yangu pia
Mkuu musoma mjini na BUNDA sio mkoa wa Mara rafiki bali hiyo ni sehemu tu ya mkoa wa Mara
Mie nipo Nyamongo wilaya ya Tarime
Je huku sio Mara?
Na je huku hakuna CCM kushinda?
Nadhani ulipaswa kutaja hizo sehemu ulizozitaja kuliko kusema mkoa wa Mara
Au sio mkuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.