Recent content by Gosberth

  1. G

    Mtandao wa Telegram Tanzania una shida gani?

    Tumia VPN , mimi nimetumia vp imekubali
  2. G

    Hatimaye nimepata Android 10 kwenye Samsung

    Nami pia nimepata niko kagera Sent using Jamii Forums mobile app
  3. G

    Nauza gari toyota ist

    Nauza gari toyota ist , 8m Hali yake ni nzuri 0755348080
  4. G

    Naomba msaada wa kisheria

    Naomba msaada wa kisheria kuhusu kupigwa tochi sehemu zenye zebra na hazina vibao vya udhibiti mwendo na kuna sehemu zingine hata kibao cha pedestrian crossing ahead hakuna , msaada tafadhali ,nimewasilisha
  5. G

    Bachelors degree free from an online american accredited international university

    Hizi degree za online zinakubalika nchini Tanzania ?
  6. G

    INAUZWA DSTV Explora

    Naomba namba ya Mwenye ujuzi wa kutumia Dstv explora , nimelipia ila siwezi nikarecord na kadhalika Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  7. G

    Msaada aliye na ujuzi wa kutumia dstv explora

    Tafadhali kama kuna MTU anajua kutumia Dstv explora ningependa nipate namba ya simu Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
  8. G

    Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

    Mahabusu siku hizi wanaingia na simu za kuchart insta, fb nk lockup
  9. G

    Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

    Uwongo mtupu mahabusu gani wanakesha wanapost picha instagram
  10. G

    Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

    Uwongo mtupu , maabusu gani wanakesha wanapost picha instagram bala wako kwenye mazishi ya yp usiku na mchana
  11. G

    Unadhani ni nini kinaendelea hapa?

    Nasikitika kwa sababu tu nawajua watu hawa tuliishi nao fresh na hawakuwa na mahusiano zaidi ya matani yaliyopitiliza
Back
Top Bottom