Inasikitisha sana. amepata umaarufu kupitia uwekezaji na jitihada za Mo. Halafu anautumia umaarufu huo kutangaza bidhaa za wafadhili wa Yanga. So unfair
Kuna mambo muhimu ya kujiuliza
1. Je, alijua hayo alipoenda kuomba pikipiki za kampeni kwa MO ?
2. Je, angepewa pikipiki na misaada mingineyo angeongea hayo ?
3. Je, huu ndio mtindo wake wa uongozi ?
4. Je, anayetakiwa kununua au kulipia hisa ni MO peke yake ?
5. Na, kwanini mtu mwenye dhamana...
Kuna mambo muhimu ya kujiuliza
1. Je, alijua hayo alipoenda kuomba pikipiki za kampeni kwa MO ?
2. Je, angepewa pikipiki na misaada mingineyo angeongea hayo ?
3. Je, huu ndio mtindo wake wa uongozi ?
4. Je, anayetakiwa kununua au kulipia hisa ni MO peke yake ?
5. Na, kwanini wakati huu muhimu wa...
Magufuli ana kazi ndogo sana. Kazi alizofanya zinambeba na ndio zinakibeba chama.
Kampeni za mwaka huu ni nyepesi sana.
Muhimu kuhakikisha uchaguzi wa kistaarabu ie huru na haki.
Swali zuri.
Nitaeleza kwa ufupi.
Utengenezaji wa fedha ni jambo la kihistoria, na lina historia ndefu.
Kabla ilikuwa biashara ya kubadilshana, baaae ikaonekana kuna umuhimu wa kuhifadhi thamani ya huduma na vitu.
Katika hilo dhahabu ilitumika ilitumika zaidi wakati huo, ie ukitoa huduma au kuuza...
Nimepitia uzi wote.
Mawazo yaliyotolewa mengi ni mazuri, japo mengine hayana uhalisia.
Kila biashara hata mlizoziona hazifai zina matajiri wake au watu wanaozifanya kwa mafanikio.
Hivyo, unaweza kufanikiwa katika biashara yeyote endapo;
1. Unaipenda na una nia na aina hiyo ya biashara (Penye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.