mbona unakanganya?mara useme makonda ana tuhuma za kutaka kutoa makontena bila kulipa kodi,halafu unasema Makonda kaomba msamaha kanyimwaMakonda aliomba msamaha wa kodi kwa makontena hayo na kukataliwa na Waziri wa Fedha wa Tanzania Dk. Philip Mpango ambaye kwa mujibu wa sheria za nchi hiyo ndiyo mwenye mamalaka ya kuamua nani ama nini kipatiwe msamaha wa kodi.
hahahahhaaaaaaaaaaaaNiliwahi kuambiwa na mama yangu kati ya wanangu wote wewe nakupenda zaidi ya wengine.
Kuna mtoto mmoja lazima awe kipenzi cha mzazi.
Process ni nini?mbona unakanganya?mara useme makonda ana tuhuma za kutaka kutoa makontena bila kulipa kodi,halafu unasema Makonda kaomba msamaha kanyimwa
Kuomba msamaha wa kodi ukinyimwa sio jinai,ni process tu
mchakatoProcess ni nini?
Mchakato ni nini?mchakato
utaratibu wa kufanya jambo kutoka hatua ya kwanza mpaka ya mwishoMchakato ni nini?
Kwahiyo ukifanya hivyo ndo unakuwa huna kosa?utaratibu wa kufanya jambo kutoka hatua ya kwanza mpaka ya mwisho
Ndio hakuna njia ya porini utaratibu umefuatwa,sheria imeamua kwamba mzigo haustahili msamaha wa kodiKwahiyo ukifanya hivyo ndo unakuwa huna kosa?