Recent content by goodluck j lema

  1. goodluck j lema

    SOMA: Namna BIBLIA ilivyotabiri kipigo cha GAZA na Majirani zake, na namna GAZA ilivyokuwa ikisurubiwa toka enzi za manabii

    Jamani ma brother na ma sister na viumbe vyote vilivyo hai kwa ujumla niwaambie tuu kwa ufupi hakuna kinacho tokea asicho kijua BABA MUUMBA ila niwaambie tuu ana zuia vingi visi tokee ila huwezi kuona kwasababu alisha zuia kabla vinavyo tokea na vilivyo tokea ameacha viwe fundisho sio kwaajili...
  2. goodluck j lema

    LUTAMBULILO-Tego la Kunasa na kuua kabisa mtu anayetembea na Mke/ Demu wako

    Kwanini ku muua mwanaume mwenzako kama umeoa malaya au kazimika mwenyewe au haumpi shoo inayo takiwa una tegemea nini sasa acha tumpe raha bhana acha u binafsi mzee ...
  3. goodluck j lema

    Vitu vya kubeba unapoenda kulala kwa mwanaume Mara ya kwanza

    Doh!! Mi sioni cha kuongezea naona humu ndani watu ni mafundi aisee hapa nilipo mbavu zime nyooka kwa kicheko....
  4. goodluck j lema

    WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

    Kunanini tena jamani ??? MAISHA NI ZAWADI
  5. goodluck j lema

    WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

    Gdylema [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] napendanga wooooote!!
  6. goodluck j lema

    Alinata sana kipindi namtongoza, nikaamua kumuacha, cha ajabu ananifuatilia

    Dume- mimi niko arusha ndugu kusoma nime maliza zamaniii!!
  7. goodluck j lema

    Alinata sana kipindi namtongoza, nikaamua kumuacha, cha ajabu ananifuatilia

    Jamani nimepeta mawazo mapya mengi nawa shukuru sana ngoja ni ganga male kiume kuna mtu kanishauri nirudishe majeshi nirushe tena ndowano!! Ili ku mpima imani huenda ana nipenda yeye na wenge lake akataka kuni zungusha.
  8. goodluck j lema

    Nyodo nyingi, getho lake limejaa kunguni

    Daaah!!! Kweli inaonekana uli pata tabu pole asee!!.
  9. goodluck j lema

    Alinata sana kipindi namtongoza, nikaamua kumuacha, cha ajabu ananifuatilia

    Naomba kuuliza tuu jamani kuna jambo limenikuta na linanikera sana. Kuna mdada nilimwonyesha kumpenda na akajua nampenda kwenye kumwalika ili tuongee nimwage sera zangu, alinata sana nikachoka kuona hajali kabisa, nikaachana na habari hizo. Sasa cha ajabu amekuwa kero kwangu anaongea maneno ya...
  10. goodluck j lema

    Rais kaonana na Nay wa Mitego lakini viongozi wa Upinzani/Dini kakataa why?

    Haya ndo maneno ya kukumbukwa kweli hii ni serekali ya MAGUFULI na tena HAPANGIWI msi sahau jamani wana J/M si juzi tuu hii misemo.
  11. goodluck j lema

    Namhitaji mke mwenye maambukizi ya VVU

    Uko sawa kaka ume eleweka ila ninge penda ku jua na ww uko kwenye kundi hilo? Au ni maamuzi tuu!!
  12. goodluck j lema

    Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

    Zile tofali za ku pachika na za kuchoma mna dili nazo mkubwa?
Back
Top Bottom