Alinata sana kipindi namtongoza, nikaamua kumuacha, cha ajabu ananifuatilia

Oct 27, 2015
17
5
Naomba kuuliza tuu jamani kuna jambo limenikuta na linanikera sana.

Kuna mdada nilimwonyesha kumpenda na akajua nampenda kwenye kumwalika ili tuongee nimwage sera zangu, alinata sana nikachoka kuona hajali kabisa, nikaachana na habari hizo.

Sasa cha ajabu amekuwa kero kwangu anaongea maneno ya kejeli kama vile;
Hujatulia wewe
Mara anafatilia nani nina mahusiano naye
Mara unaishi wapi
Mara umeoa
Mara mwanamke gani atakuwa tayari kuolewa na wewe

Kweli ananikera sana zaidi ya yote tulikuwa ofsini akafanikiwa kuchukua simu yangu kapekuwa picha kila msichana aliyeona nimepiga naye picha anasema nimelala naye kama vile ana nihesabia tena mbele za watu kweli ananivunjia heshima sana.

Naombeni msaada nini nifanye jamani.
 
Naomba kuuliza tuu jamani kuna jambo lime nikuta na lina nikera sana // kuna mdada nili mwonyesha ku mpenda na akajua nampenda kwenye ku mwalika ili tuongee nimwage sera zangu ali nata sana nikachoka kuona hajali kabisa nika achana na habari hizo sasa cha ajabu amekuwa kero kwangu anaongea maneno ya kejeli kama vile //
Hujatulia wewe //
Mara anafatilia nani nina mahusiano nae //
mara unaishi wapi //
mara ume oa //
Mara mwanamke gani ata kuwa tayari ku olewa na wewe //
kweli ana nikera sana //
zaidi ya yote tulikuwa ofsin aka fanikiwa ku chukua sim yangu kapekuwa picha kila msichana aliye ona nimepiga nae picha ana sema nime Lala nae kama vile ana nihesabia tena mbele za watu kweli ana nivunjia heshima sana;; NAOMBA MSAADA NINI NIFANYE JAMANI.
jiongeze mtoto wa kiume, msichana atachukuaje cm yako na kuanza kupekua bila idhini yako.
 
Mcharo amekuwa mtamu.

Hata kwenye mechi huwa kuna marudiano.

Hebu jaribu kufanya kama unarudi nyuma seduce her and listern for the feedbacks,

Alidhan yy ni matawi ya juu, sasa kajiona choo.

By the way, don't regret make forrup on it.

But remember, don't too much mercy around on her to West your time.
 
Mkuu wala usiumize kichwa saaaaana

Uyo ananyege na yuko na hamu na kitu flani

Fanya ivi vunja ukimya zungumza na mwenzako
 
Ukitongoza hakikisha unatongoza mwanamke unayemkubali to the fullest. Hata akikutosa leo hata kesho anaweza kuja.
 
Ukitongoza hakikisha unatongoza mwanamke unayemkubali to the fullest. Hata akikutosa leo hata kesho anaweza kuja.
Jamaa unamisimamo yangu aisee...
Huwa sifanyi rehearsal katika kutongoza nisiyempenda simtongozi maana nachotaka kuona ni kuwa hata ikitokea kuwa nae moyo umeridhia
 
Naomba kuuliza tuu jamani kuna jambo limenikuta na linanikera sana.

Kuna mdada nilimwonyesha kumpenda na akajua nampenda kwenye kumwalika ili tuongee nimwage sera zangu, alinata sana nikachoka kuona hajali kabisa, nikaachana na habari hizo.

Sasa cha ajabu amekuwa kero kwangu anaongea maneno ya kejeli kama vile;
Hujatulia wewe
Mara anafatilia nani nina mahusiano naye
Mara unaishi wapi
Mara umeoa
Mara mwanamke gani atakuwa tayari kuolewa na wewe

Kweli ananikera sana zaidi ya yote tulikuwa ofsini akafanikiwa kuchukua simu yangu kapekuwa picha kila msichana aliyeona nimepiga naye picha anasema nimelala naye kama vile ana nihesabia tena mbele za watu kweli ananivunjia heshima sana.

Naombeni msaada nini nifanye jamani.
mtie makofi
 
Back
Top Bottom