Nawakumbusha kupiga kura na kulinda kura zetu,nilikuwa kwenye mkutano wa kujitambulisha watia nia wa Chadema hapa Songea mjini mc alisema uchaguzi ulio pita tulilinda kura tukiwa mita 40 wakatuibia safarii hii ni hatuwa 4 kuroka kwenye kituo.
Hugu gujinga kweli,tatizo gunajuwa kusoma na kuandika tu,ndo sera zamajitu mapumbavu kama haya,jitu kama hili ndo likienda bungeni utasikia ndiyooooooo gunalala mikaaaaaa halafu gunasema naunga mkono hoja 100%
Padre Mapunda yy kazi yake ni kusema ukweli,na ndiyo misingi yake,huwa hawaogopi kusema ukweli na ndo maana watu kama hawa husifiwa na mimutu kama ya ccm akisha kufaga ndo maana yanajifanya yanamuenzi mwalimu huku yanaiba lasilimali zetu kila siku.
Mtoa maada mwenyewe umesha choka,unatuletea yaleyale,inaelekea mleta maada umesha lipwa buku 7 halafu utu letee yaleyale wa tz si huko tulishatoka kitambo!!!
Acheni usisim wenu nyie,habari gani za kuchafuana hizo hiyo ndo tz kuchafuana tu,utalipotije kishabiki hivyo mambo ambayo kwanza hayakuhusu,pili ni uwongo kwa nini wapigane wewe ni ssm achana na mambo ya chadema 100% hayakuhusu ksma jimbo hilo ni la chadema wacha wachukuwe tu,usionewivu na ussm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.