Recent content by goodhearted

  1. goodhearted

    Serikali kupanga upya walimu kulingana na ngazi za elimu, wenye diploma kufundisha elimu ya msingi

    Msomi wa makaratasi, weledi na compintent ipo tofauti? Au wewe umeelewa tu hiyo kwa moyo
  2. goodhearted

    Pikipiki za Umeme Tanzania: Okoa hadi TSh 450,000 ya Mafuta kwa Mwezi kwenye Delivery

    Betri ikichoka huku kijijini nafanyaje kuweza kupata nyingine? Na vipi kuhusu vipuli vingine vinaingiliana na pikipiki nyingine
  3. goodhearted

    Pikipiki za Umeme Tanzania: Okoa hadi TSh 450,000 ya Mafuta kwa Mwezi kwenye Delivery

    Inafaa kwa matumizi ya vijijini pia? Mathalani kubebeba mizigo ana maximum ni kilo ngapi
  4. goodhearted

    Taliban yaruhusu wanawake kupigwa ila wasivunjwe mifupa au kupata majeraha

    Sheria nzuri sana. Hawa wanawake are supposed to live that life
  5. goodhearted

    Msaada wa anayejua namna ya kudownload application kwenye Tv

    Toa elimu zaidi hapo kwenye kutuma app kwenye tv
  6. goodhearted

    Miaka 12 na Renata: Safari ya Mapenzi iliyofika mwisho ghafla....

    Hata usipoendelea mimi nimetosheka labda wenzangu
  7. goodhearted

    Internet ya Voda kama iko slow sana kwa hizi siku mbili tatu

    Sio voda tu HALOTEL ndio hapatoshi
  8. goodhearted

    UTV ya Azam Tv sio free tena

    Kuna cha maana kipi huko zaidi ya majadiliano ya taarifa ya habari
  9. goodhearted

    “Wanaume Wenye Umri wa Miaka 40 na Kuendelea: Kwanini Unapaswa Kuwa na Chai ya Majani ya Mstafeli, Mpera na Mronge Kwenye Meza Yako Kila Siku”

    Mnatumika sana kuwatisha wenzenu. Vijijini huko hiki ndio chakula chao kila siku na hakuna case unazozitishia. Zaidi zaidi afya zao ni imara mpaka kesho
  10. goodhearted

    Kwa waliojisajili NHIF kwa njia ya mtandao

    Nimefanya hivyo lakini bado imegoma
  11. goodhearted

    Kwa waliojisajili NHIF kwa njia ya mtandao

    Hawapokei simu. Lakini humu kunawatu wamejisajili kwa portal yao ya self-service na wamefanikawa
  12. goodhearted

    Kwa waliojisajili NHIF kwa njia ya mtandao

    Kipengele cha membership number kinahitaji uingize tarakimu 9 wakati huo kwenye kadi kuna tarakimu 12. Hii inakuaje au kuna mahali mimi nakosea? Msaada tafadhali
  13. goodhearted

    Peter Kupaza, Mtanzania aliemuua dada yake nchini Marekani

    Kama waliweza kutrace taswira ya marehemu kwa michoro bila hata msaada wa picha ya marehemu ilikuwaje washindwe kumtambua mzungu aliemshauri mama wa picnic kupiga simu polisi!! Ni dhahiri Peter alikuwa mawindoni
  14. goodhearted

    Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

    Labda sasa mna mali nyingi Btw, hivi kama mwanamke anaiihitaji talaka kwa hamu hawezi itoa yeye?
Back
Top Bottom