Recent content by goodhearted

  1. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Mainjinia tushauriane

    Nataka kuweka geti la kuslide(kusukuma). Geti limekamilika kutengenezwa. Bado kuliseti kwenye reli yake tu. Mafundi wanabishana mwingine anasema tuweke nondo ya mm 10 kwenye reli. Mwenzake anasema haina umhimu wowote. Muuza vifaa vya ujenzi anasema ni muhimu sana kwa matumizi ya roller kudumu...
  2. goodhearted

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliponiambia yeye na mimi basi. Nikamwambia sawa haina shida. Nlichomfanya hatonisahau kamwe

    Wewe ni mimi kabisa ila umenizidi kidogo
  3. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Azam vs Pamba dakika ya 90, 0-0 nyongeza dk 7. Lakini baada tu ya Azam kufunga goli zikapunguzwa mpaka dak 3

    Nani mwingine aliona hio kitu
  4. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Abiria na kondakta wa daladala warushiana ngumi na kushikama mashati kisa nauli mpya ya Sh 700 katika safari ya Mbezi Makumbusho

    Naomba nieleweshe kuhusu hili la nauli. Mabadiliko haya mapya ya nauli ni kwa sababu ya vita iliyosababisha bei ya mafuta kupanda kwenye soko la dunia na itashuka mara tu mafuta yakishuka sokoni? Au ni mabadiliko ya kudumu yanayosababishwa na kupanda kwa gharama za uendeshaji?
  5. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Kuna haja Tanzania tukaiga mfumo wa elimu wa Irani

    Kwa sasa wamekuja na sela mpya inaitwa CBC(Student Based Curriculum) Kwenye mention 4 labaratory rules watasema "Educate form one student on 4 rules of labaratory" Hapo wanakwambia mtoto atakapohitimu atakuwa compitent ile mbaya. Na atagombaniwa na soko la ajira kama mpira wa kona
  6. goodhearted

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Baba ndio amegoma kutoa sasa. Shida Yako ni nini? Unataka afungwe au?
  7. goodhearted

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Unaehangaika kumjibu yamkini hata hajawahi kuishi na mwanamke kindoa zaidi ya hit and run
  8. goodhearted

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    Umefikia kabisa suluhisho baada ya kusikia stori ya upande mmoja
  9. goodhearted

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo KILOSA Morogoro nije ILEMELA, NYAMAGANA, GEITA MJI, au SENGEREMA Idara ya secondary, masomo physics & Biology Tuonane PM
  10. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Serikali kupanga upya walimu kulingana na ngazi za elimu, wenye diploma kufundisha elimu ya msingi

    Msomi wa makaratasi, weledi na compintent ipo tofauti? Au wewe umeelewa tu hiyo kwa moyo
Back
Top Bottom