Recent content by goodhearted

  1. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa pikipiki

    Nahitaji yenye mwonekano wa kisasa
  2. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa pikipiki

    Mchina kampuni gani mkuu
  3. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa pikipiki

    Campuni gani ya pikipiki yenye muundo wa kisasa cc 125 yenye mfumo wa push rod kwenye injini yake badala ya timing chain
  4. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Mlioko kwenye ndoa mnanizidi nini katika mazingira haya!

    Kwani vichaa na matahira hawazai?
  5. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Mlioko kwenye ndoa mnanizidi nini katika mazingira haya!

    Huna akili. Utawezaje kuishi na mwanamke!
  6. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Wakulungwa na wazee wa kupiga chabo, nipeni ushauri kwenye hili

    Kilio na yowe la tani mia
  7. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Wakulungwa na wazee wa kupiga chabo, nipeni ushauri kwenye hili

    Na ngoja mwendelezo
  8. goodhearted

    JamiiForums Tanzania How wenzangu munaweza ku control wanawake katika ndoa zenu nipeni mbinu

    Hio nyumba ulijenga nae au alikukuta nayo? Na vp kuhusu mahitaji ya kila siku mnashare au wwwe ndio provider? Mwisho kabisa umezaa nae ?
  9. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Nimefarijika sana TBC kuonesha kombe la dunia

    DODOMA: TANZANIA Broadcasting Corporation (TBC) will air 34 matches from the 2026 FIFA World Cup after securing official rights to broadcast selected fixtures of the tournament, giving Tanzanians free access to some of football’s biggest matches. The state broadcaster announced in Dodoma...
  10. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Huu Usajili wa Watangazaji wa Michezo kwenda Azam Media ni wa muda mfupi au moja kwa moja?

    TBC walionyesha fainali ya U17
  11. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Nimeumia sana. Kaniomba Laki moja aliniambia mama yake ni mgonjwa ila nimemkuta baa na mwanaume mwingine

    Ndio maana umepigwa kiboya. Bado akili yako changa. Ila sema ndio hivyo. Unakomazwa kwa nguvu
  12. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Mainjinia tushauriane

    Nataka kuweka geti la kuslide(kusukuma). Geti limekamilika kutengenezwa. Bado kuliseti kwenye reli yake tu. Mafundi wanabishana mwingine anasema tuweke nondo ya mm 10 kwenye reli. Mwenzake anasema haina umhimu wowote. Muuza vifaa vya ujenzi anasema ni muhimu sana kwa matumizi ya roller kudumu...
  13. goodhearted

    JamiiForums Tanzania Aliponiambia yeye na mimi basi. Nikamwambia sawa haina shida. Nlichomfanya hatonisahau kamwe

    Wewe ni mimi kabisa ila umenizidi kidogo
Back
Top Bottom