Mnatumika sana kuwatisha wenzenu. Vijijini huko hiki ndio chakula chao kila siku na hakuna case unazozitishia. Zaidi zaidi afya zao ni imara mpaka kesho
Kipengele cha membership number kinahitaji uingize tarakimu 9 wakati huo kwenye kadi kuna tarakimu 12. Hii inakuaje au kuna mahali mimi nakosea?
Msaada tafadhali
Kama waliweza kutrace taswira ya marehemu kwa michoro bila hata msaada wa picha ya marehemu ilikuwaje washindwe kumtambua mzungu aliemshauri mama wa picnic kupiga simu polisi!! Ni dhahiri Peter alikuwa mawindoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.