Kwahiyo nyie Kenya ndo mnathamini sana watu wenu, juzi tu hapa watu wamekula pesa za msaada wa Vifaa Tiba vya Corona, sasa hapo una thamini nini[emoji23][emoji23][emoji23]
This time we will surely show you who holds the hoe handle
Mimi nahisi mzee ulikuwa una mada nzuri ya kuiwakilisha humu labda namna ulivyowakilisha labda ungekuja na data za kusupport mada yako watu wangekuelewa zaidi. Ila maoni yako yanafaa yaheshimiwe na yasikejeliwe
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.