Yah unaweza kukubaliwa, lakini Kwa Minaki wanachoangalia ni kuwa katika Yale masomo yako unayotaka kuchukua mchepuo nayo, uhakikishe umepata kuanzia B na kuendelea..!! La sivyo usome kombi nyingine.
Kuhama komb nako kuna changamoto, baadhi ya shule wanataka Kwa masomo unayotaka kuchukulia komb mf. PCB bio, chem na phys. Wanataka uwe umefaulu kwa daraja la B na kupanda juu, Kama Hata somo moja umeshindwa kufikia vigezo basi wanakataa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.