nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
haa haa kuna kunguni ile mbaya. ...
Hajatangulia ila amestaafu mwaka huuMkalawile? Huyu mbona nilisikia alitangulia. Huyu mimi namkumbuka mwalimu wa Kiswahili alikua kutoka Ndanda hapo ndo kwao. Lakini enzi hizo alikua anagundisha sisi pale Mtwara Tech ila ni muda sana yaani 1995. Sasa nilisikia alihamia kibaha mapema miaka ya 2000,lakini nikasikia tetesi ya kuwa alitangulia. Labda ni yeye au majina tu yamefanan!
Sikh hizi mambo freshPia waendelezee urafiki wetu na Masasi Girls,.....Sisi tuliacha Mambo tafarani..... mahafali yetu tulifata ving'amuzi MTWARA GIRLS....sifaham hali sasa ipoje Ndabo na Msasi Girls
Tunahitaji joining instructionsNDANDA BOYS HIGH SCHOOL
1.Advance only
2.Location ipo mkoa wa mtwara,wilaya-Masasi,kata-Mwena.
3.Ni shule nzuri kimiundombinu ya majengo,saman, n.k
4.Huduma ya maji Uhakika,umeme TANESCO + Solar power so fulltime.
5.Kuna walimu 37,registered,na watempo wapo.
6.Kuna tahasusi(wengne wanaita komb) tisa,that is CBG,EGM,HGE,HGK,HGL,HKL,PCB,PCM & PGM
7.Miradi ya shule Shama ekari 20(wakulima wanafunzi) na wana mpango wa kuongeza mwaka huu.,mrad wa kuku na ng'ombe,saloon,duka la shule,tailoring centre na Cantin(mkahawa/mgahawa).
8.SIMU NI MWIKO,Mkuu wa shule MR.MONGATE NI MKALI KWELIKWELI ON THAT.
9.Uniform surual rang dam ya mzee,viatu vyeusi.
10.Kuna barid kdogo.
Nadhani yanaweza kuwasaidio.
11.Msos wali j5 & j2,kande jmaa & j3,kuna mabweni ya kutosha(4) 1 amongst has two floor,wanaita ghorofa,usikae juu kuna baridi.
Yatawapa mwnga kdogo.
haa haa kuna kunguni ile mbaya. ...
Juining instruction utaikuta kule... We nenda na shat jeupe la mikono mirefu.... Suruali kitambaa cha dam ya mzee.. Shona na tai ya rangi hiyo... Viatu vyeusi..Tunahitaji joining instructions
Join struction znapatikan kweny website ya tamisemi.. ingia ipoTuma joining instructions
Utajipeleka bila mahahitaji yanayotakiwaJuining instruction utaikuta kule... We nenda na shat jeupe la mikono mirefu.... Suruali kitambaa cha dam ya mzee.. Shona na tai ya rangi hiyo... Viatu vyeusi..
hahahahhahahahaha wee jamaa umenikumbusha mbali-WAPI MKALAWILE?
-WAPI MAKANDI?
-WAPI MZUKI?
-WAPI NDUGURU?
-WAPI YAMISEO?
-WAPI SANDALI?
-WAPI BUKEREBE?
-WAPI OMINDE?
_________
-WAPI RAS_MUUZA_MAANDAZI?
-WAPI SINGLE_LADY?
-WAPI MAMA_RIZ?
_______
-WAPI KILIMANJARO,
-ILULU,
-MTANDI,
-SHELATONI
-WHITE_HOUSE.
_______
-AJE MANCHESTER HALL?
-AJE MV. BUKOBA?
_____
KITAA CHA
-WATER SPRING,
-STENDI_MAANDAZI,
-NDOLO
&
-MWENA.
@ 2010 - 2102
Don't Take #NDABO that Easy!
Very Tishable!!!!!
-WAPI MKALAWILE?
-WAPI MAKANDI?
-WAPI MZUKI?
-WAPI NDUGURU?
-WAPI YAMISEO?
-WAPI SANDALI?
-WAPI BUKEREBE?
-WAPI OMINDE?
_________
-WAPI RAS_MUUZA_MAANDAZI?
-WAPI SINGLE_LADY?
-WAPI MAMA_RIZ?
_______
-WAPI KILIMANJARO,
-ILULU,
-MTANDI,
-SHELATONI
-WHITE_HOUSE.
WAP KUBWA NENE....ABSIA......WAP MWIHIDINI........WAPI MWENA......WAP MKALAPA
_______
-AJE MANCHESTER HALL?
-AJE MV. BUKOBA?
_____
KITAA CHA
-WATER SPRING,
-STENDI_MAANDAZI,
-NDOLO
&
-MWENA.
@ 2010 - 2102
Don't Take #NDABO that Easy!
Very Tishable!!!!!
makandi mikwala kibao yule ticha-WAPI MKALAWILE?
-WAPI MAKANDI?
-WAPI MZUKI?
-WAPI NDUGURU?
-WAPI YAMISEO?
-WAPI SANDALI?
-WAPI BUKEREBE?
-WAPI OMINDE?
_________
-WAPI RAS_MUUZA_MAANDAZI?
-WAPI SINGLE_LADY?
-WAPI MAMA_RIZ?
_______
-WAPI KILIMANJARO,
-ILULU,
-MTANDI,
-SHELATONI
-WHITE_HOUSE.
_______
-AJE MANCHESTER HALL?
-AJE MV. BUKOBA?
_____
KITAA CHA
-WATER SPRING,
-STENDI_MAANDAZI,
-NDOLO
&
-MWENA.
@ 2010 - 2102
Don't Take #NDABO that Easy!
Very Tishable!!!!!
mkuu kama umedownload tayari wasaidie kwa kuiattach hapa....Mnaotak join struction ingien tamisemi zpo.. mm nmeshajidownloadia hpa
Wewe mndanda pure-WAPI MKALAWILE?
-WAPI MAKANDI?
-WAPI MZUKI?
-WAPI NDUGURU?
-WAPI YAMISEO?
-WAPI SANDALI?
-WAPI BUKEREBE?
-WAPI OMINDE?
_________
-WAPI RAS_MUUZA_MAANDAZI?
-WAPI SINGLE_LADY?
-WAPI MAMA_RIZ?
_______
-WAPI KILIMANJARO,
-ILULU,
-MTANDI,
-SHELATONI
-WHITE_HOUSE.
_______
-AJE MANCHESTER HALL?
-AJE MV. BUKOBA?
_____
KITAA CHA
-WATER SPRING,
-STENDI_MAANDAZI,
-NDOLO
&
-MWENA.
@ 2010 - 2102
Don't Take #NDABO that Easy!
Very Tishable!!!!!
Sasa we subir joining instruction.... Kama utaipata... Unafikir ndabo shule ya kishuaUtajipeleka bila mahahitaji yanayotakiwa