Recent content by gongolamboto

  1. G

    Tujifunze kuwa wakweli

    Cha maana acheze mpira tunavyotaka. Mengine hayakuhusu
  2. G

    Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Kwa ujumla wanawake ni wakatili sana.
  3. G

    Kaka karibu nyumbani, Mwenyezi Mungu kaamua ugomvi, sasa bahari ipo shwari

    Sema sikubaliani. Hamkubaliani na nani?
  4. G

    Wanaume tunafeli pakubwa

    Kugawana mali inategemea mchango wa mke au mume kwenye kuitafuta. Siyo 50/50.
  5. G

    Car4Sale Nauza Toyota Vanguard

    Ninayo zaidi ya 9 years. Sijawahi pata pancha.
  6. G

    Kati ya Mama mzazi na mke/mume nani utakaemjali?

    Uko sahihi kabisa. Wengi huwa hawaelewi hilo.
  7. G

    Yanga SC na GSM Wanasajili, Simba SC na Mo Dewji wanafanya Mzaha

    Weka akiba ya maneno. Uzuri au ubaya wa mchezaji unategemea mazingira ya timu.
  8. G

    Kuuliza si ujinga: Hivi Diwani Athumani kashuka au kapanda?

    Katibu Mkuu Ikulu, ni anasimamia Wizara ya Utawala bora, Takukuru, TIS na Mkurabita. Sasa jazia mwenyewe kama amepanda au ameshuka
  9. G

    Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

    TISS, TAKUKURU, TASAF, Utawala bora ziko chini ya Katibu Mkuu Ikulu. Ilikuwa promotion siyo demotion
  10. G

    Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

    Acha uongo wewe.
  11. G

    Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

    Kushushwa cheo kivipi? Idara ya usalama wa taifa iko chini ya Katibu Mkuu Ikulu. Sasa alishushwa vipi?
  12. G

    Makosa ndani ya Makala ya Mama Maria Nyerere Kutimiza Miaka 93

    Hiyo makala unayodai ina makosa. mwandishi aliongea na mama Maria mwenyewe na mwanaye Madaraka. Nadhani hao wanaaminika zaidi kuliko third party
  13. G

    Simba kumtambulisha rasmi mchezaji wa kwanza saa saba mchana

    Hana tatizo la nidhamu. Ukweli ni kwamba ucha Mungu wake ndiyo unamfanya aonekane hana nidhamu. Trust me ni mchezaji mzuri sana. Ingawa umri kweli umeenda
Back
Top Bottom