Recent content by Gonga nae

  1. G

    Tukutane hapa tuliowahi kuvamiwa na majambazi tupeane uzoefu/ushuhuda

    Mimi wakatimwingine nipo form 4 nilikua nakaba na kuchukua hell kunasiku nilimkaba babaake na rafikiyangu ananijua vizuri sababu nilitokea nyuma hakuniona nikaona Bora nimalize kabisa yani niuwe nilikaba mpaka akalegea nikajua tayari nimeua kumbe kazimia
  2. G

    Mh. Rais, maswali ya 'MO' ni mengi sana kuliko 'matatu' ya Lissu.

    Bado Sana kwa hoja zako watu wenye akili kubwa tunakuona unaimba nyimbo tatu tofauti ukijua nimoja ujue unatupigia Kell nyamaza
  3. G

    RUGE tuamuangalie upande wa pili

    Acha ujinga Tena nakuonya acha ujinga rais ni binadam sema ye anamamlaka kila mmoja anajisikia anavyo hisi raisi akilia unataka wote tulie wengine watacheka jifunze sana
  4. G

    Wapiganaji Wetu ( Wanajeshi ) hasa wa Vyeo vya chini ( Kawaida ) acheni hii tabia hatarishi Kwenu

    Yani ww ndo chizi kabisa kwani mwanajeshi sio mtu akizidisha pombe analewa chakari na akizingua anakula kichapo Kama kawa natunawachapa Sana tu sisi nimasoja Sema hatukubahstika kupewa kazi na serikali Tena raia wengi wako fiti kuliko hao jamaa
  5. G

    Kwa wale madereva wenzangu....

    Mungu amsaidie punda apone wengine watajua wenyewe
  6. G

    Watu wa zamani walipandishaje yale mawe ya tani 4 ghorofani pasipo crane?

    Mbona jayant nipo huku tulikua tukibeba begani
  7. G

    Shida ya Tundu Lissu mwepesi kusahau na hana adabu

    Unaweza ngumi kweli au unarupoka tu
  8. G

    Shida ya Tundu Lissu mwepesi kusahau na hana adabu

    Ww Nani atakuita ufanye interview na lisu we fanya na walevi hapo kijijini kwenu
  9. G

    Mfahamu kinyonga

    Na ukimaliza hapo Tena via nguo ubaki uchi uone
  10. G

    Nahisi kuchanganyikiwa, ina maana Tongolanga hakuwa muhimu?

    Kama humfaham kaa kimya na ufunge domo sio lazima uchangie
  11. G

    Mwanafunzi wa kidato cha kwanza afanyiwa jambo la kikatili na mwanafunzi mwenzie Geita

    Nawasiwasi labda anapenda maana aliambiwa achague kuvuta bangi ama kubakwa Sasa Altona Bora kubakwa Kama ni mdogowangu angepata tabusana kwa kuchagua upuuzi huo
  12. G

    Sasa dunia imevurugika, vijana wanajivalia tu mavazi yoyote yale bila kujali jinsia zao.

    Kawaida gani minilitongoza kwenye harusi nikajua dem kumbe meni dakika kumi naona watu wananifata nakuanza kunilalamikia basi nikawaambia wamuite mlengwa nikawaambia muangalieni vizuri watu wote waliguna shangaziyake akamwambia Rudi nyumbani kabadirishe nguo alivyofika mbalikidogo akamwambia...
  13. G

    Maisha ya uswazi/uswahilini

    Kuna jamaa nilikua nakaa nae ni dereva was Kosta anamke Bomba balaa alikua anatoka saa kumi namoja akitoka tu mi nazama najilia mzigo mpaka saa 2 naenda zangu mishe mbaya zaidi Dem alikua anatoka nimuamber ruty anasema jamaa anarudi kachoka hawezi kitu
  14. G

    Hivi sisi watu weusi, hatuwezi kuwabagua na kuwapatia manyanyaso mazito watu weupe?

    Mimi huwa nawanyanyasa Sana kunammoja tulikua nae gym moja mpaka jamaa wakawa wanakasirika maana nilikua namnyanyasa na kum tenga Hadi akawa anallmika kwa wenzangu kunasiku nilumkuta gym nikamuuliza hapa wapi akajibu nikamuuliza nchigani akajibu nikamwambia mtanzania Kwanza nipishe akaenda...
  15. G

    Natamani kuona Polisi wakienda kulinda amani mataifa ya nje (Peacekeeping)

    Wale hawajui kufuata maelekezo sababu ni vilaza watakufa bure jamani waonee huruma
Back
Top Bottom