Binafsi namkubali sana rais wangu JPM kwakuwa katuchagulia huyu mh.Mlowola lazima atakuwa moja wa watu anaoendana nae kikazi hilo toeni shaka watanzania.
Lazima tutambua waziri hicho anachokifanya kipo ktk himaya yake,sasa basi lazima aanze na yule ambae kila kukicha tunamsikia na baade a deal na wengine
Kwa hilo litakuwa jambo la busara sana kama hiyo wizara mama atakuwa mwenyewe pia na hizo wizara nyeti ambazo hajaweka mawaziri nazo ziwe chini yake ila awaweke maanaibu tu.Tuombe mungu sana ili liwe ndio ziwe fikra zake
Napenda kuchangia ktk hili,ni vizuri wamiliki wa shule binafsi na serikali wakae pamoja ili waliweke sawa bila ya kuumiza pande yeyote,ni dhahiri gharama za kusomesha zimekuwa ghali sana pia inawezekana na uendeshaji wa hizo shule pia gharama zake zipo juu.Kazi kwenu serikali na matumaini...
Ningependa nami nitoe maono yangu juu ya hili,kwanza lazima tukubali kwa kitendo cha rais Magufuli kuwaita wafanya biashara na kuongea nao ni busara tosha kwani alikuwa na uwezo akatuma wakamatwe wale wote waliokwepa kulipa kodi ya serikali na wakashughulikiwa mara moja,aliona kwanza awajue...
Huyu jamaa alieleta huu uzi naomba awe anajiandaa kwanza kabla ya kutoa maono yake,ninavyoelewa binafsi rais Magufuli na mstaafu Kikwete ni watu wanaoheshimiana sana na kuhusu utendaji wa kazi kila mmoja ana utaratibu wake wa kuongoza,Mh Kikwete kashamaliza ingwe yake na sasa tumuombee Mh.Rais...
Waheshimiwa ndugu zanguni,
Kipindi tulicho nacho sasa ni kipindi muafaka cha kujuzana yanayoleta tija katika kuelekea uchaguzi badala ya kuleta maneno yasiyo na maadili katika jamii yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.