Recent content by golii

  1. G

    Presidential Belivery Bureau Jobs

    Ebwana ni kweli wameita na watu wameanza kazi? Mbona wengine bado twaweit matokeo ya interviews?
  2. G

    Rais Kikwete, Waulize wanausalama maswali magumu kuinusuru haiba yako!

    Misplaced kule zanzibar ni balaa kaka CCM haina udini zaidi ya vyama vilivyobaki, mi nina wasi wasi na reluctance to take action, hatua madhubuti hazichukuliwi kukabiliana na haya machafuko,
  3. G

    CIA, FBI Karibuni sana Zanzibar ili mbivu na mbichi za UAMSHO zijulikane

    Acha pupa na uchadema wako feki, thread imeshaeleza kwa kina Serikali ya Marekani ndo Inagharamia
  4. G

    TRA Posts........

    Teh wote Chadema hao wanaiba hela zetu TRA na kupeana nafasi kinyemela halafu wanajifanya Chadema kweli nyani haone kundule (------lake)
  5. G

    LL.B 1st class holder

    Kozi ya Kina Baba ndo Ipi? Huko science wamejaa mashoga kibao tunawajua? Hivi Tundu Lisu naye mama ndo unavyotaka kusema we kaka poa?
  6. G

    Kuna mdau anawafahamu vizurI CPF Kampuni ya kithailand na GRM-International

    kuwa mwangalifu unaweza enda bebeshwa cocaine
  7. G

    Jeshi jeshi jeshi

    labda jeshi la mgambo wa CHADEMA kukamata wanaochafua Halmashauri Karatu
  8. G

    Ninamaliza form six mwezi wa pili,je ninaweza kupata tempo work??

    inaweza dogo. Mimi nilifundisha tuition 6 months before joining University. Wasikukatishe tamaa. Waaajiri wapo wanaopenda tempo employees. Jitahidi kutafuta nasafi
  9. G

    Nimepata kazi ya Tutorial assitant St. Francis Ifakara

    Hongera. Tafuta mdada mzuri hapochuo mdenti uoe ili upunguze tamaa kwa wadogo zetu. Msalimie Mteketa Mbunge na Wape Pole kwa Msiba wa Mwenyekiti wa Halmashauri
  10. G

    Haya ndio madudu yaliyotokea kwenye usaili tare 15.12.2012, Kinachoendelea UTUMISHI ni kiini macho

    Mi nadhani usubiri apate then utajenga case yako vizuri. Pia watu wapo wawili wawili huenda akawa ni pacha wake ambaye ana bachelor mkononi tayari. Hujafanya mi nadhani ulipaswa kumpiga picha ili utuonyeshe na wana jf ambao wamemaliza SUA wakusaidie kusubstantiate your allegations. Hujatuambia...
  11. G

    Wanaotaka kuhama kazi ofisini ni Wengi Kama graduates wanaotafuta kazi

    Kweli I agree 100% mzee wa Kibasila/Mkwawa. Mi nakamua 1.4 sasa ila kutwa kucha kwenye Daily News nacheki green pastures nikaendelee kupiga kazi za nguvu huku nikilipwa heavily. Hope ntacepa na first train nikipata green pastures new
  12. G

    Guest gani morogoro ni nzuri

    Kwa mke wako ndo poa mwambie akupishe kama unaona sawa uzinzi pambuv zako
  13. G

    Huyu nae ana sifa za kuwa rais wa mwaka 2015. Ajadiliwe.

    Mengi ni Opportunist na Kigeugeu na Hana Msimamo. Mbona hasikiki tena akipinga ufisadi? Kale kakesi walimfungulia mahakama kuu wakamdai sh. 1000 ulikasikia. Ile ni dharau kubwa sana. Halafu akapata urahisi huyu jamaa atarithisha madaraka kwa watoto wake na kutupeleka kwenye vita. Angalia...
  14. G

    CHADEMA itakufa kwa sababu hizi, sio propaganda

    CHADEMA kushnei. Kumbuka NCCR. CHADEMA ni matumbo yao tu kila mmoja keshachoka. Alama ya V ni alama ya manati. Manati siku hizi hata ndege shorwe bwenzi huwezi mpiga. CCM ni Tembo. Ngoja 2015 tuone CHADEMA inavyopigwa vibaya. CCM Saaaafiiiiii
Back
Top Bottom