Hujui kuwa TPBL ni entity Huru.
Wajumbe wa bodi ya ligi ni viongozi wa club zetu au hujui Hilo. Kanuni zote za ligi hupitishwa na viongozi wa timu zote waliomo kwenye bodi ya ligi.
Wewe umeona Kuna club hata Moja imepinga hiki ulichoandika?
Ndio maana nikataka hayo maswali unajibu wewe.
Kwamba mikopo yetu tanzania ipo in USD na inabidi tuihudumie in USD. Je uhaba wa Dola utaathiri vipi sisi kama nchi kuhudumia mikopo yetu ?
Kusema kweli Sina jibu.
Hivyo basi badala ya kuwaza namna ya kuachana na Dola naomba nijibiwe Hilo...
Naomba unijibu wewe
Utahudumia vipi mikopo yako ya kimataifa ya world bank ambayo in USD. Kumbuka huko world bank USA ndio major shareholder.
Hivyo naomba uniambie utahudumia vipi mikopo yako Ambayo unapaswa kuilipa Kila mwezi in USD.
Tuachane kwanza na hizo international business
Kwa mfano tanzania alichukuwa mkopo wa USD bilion 1 Ambayo ni sawa na tsh trilion 2+ kutoka bank ya Export Credit Agencies ya Denmark na Sweden. Huu mkopo utarudishwa in USD miaka na miaka.
Sasa Huwa nashindwa kuelewa mtu anasema tanzania inabidi iachane na Dola wakati ana mzigo wa madeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.